Recent content by Kelagokyamosaliyi

  1. K

    Madaraka kwa Uwiano Kijinsia tutafika kweli?

    Sina uhakika kama kweli tunajadili ajenda/hoja hii kwa mustakabali wa nchi yetu. Kusema kujali uwiano wa kijinsia nadhani siyo sahihi kwa maana watu wengi wanakubaliana na ukweli kuwa kwa kipindi kirefu wanawake wamekuwa wakipewa nafasi ndogo sana kwenye uongozi wa nchi simply kwa kuwa ni...
  2. K

    Kutoka uwanja wa Shule ya Jangwani - Ifakara: Mkutano wa Kampeni wa CHADEMA

    Halafu NYINYIEMU wamekazana kweli kuangalia mkutano wa UKAWA Kilombero na kutoa Comments, wa kwao DAR umebuma nini?:bathbaby:
  3. K

    UVCCM watoa tamko, Wamuongelea Kingunge na Uchaguzi Mkuu Zanzibar

    Kwa kauli hii, nadhani kirefu cha UVCCM sasa chaweza kuwa U-liza V-izuri C-hama C-henu M-ahututi
  4. K

    Postal/zip code ya Tanzania ni ipi?

    Nijuavyo mimi kwa hapa Tz tuna post code. Mfano kwa mkoa wa DAR post code inaanzia 11000, wilaya kama ya Ilala kata ya kivukoni inaandikwa 11101 nk. Ila kwa Tz jinsi tunavyobadili mitaa kila akija mgeni na kuongezea mingine, sina uhakika kama mfumo huu unafuatiliwa.
  5. K

    Angalia Tsunami ya Magufuli Mtwara jana

    Na hapo hujatoa yele mabasi yaliyosaffirisha watu kutoka Tandahimba, Newala, Masasi nk
  6. K

    Madiwani wawili (2 ) wa TLP Vunjo, watimukia NCCR Mageuzi

    Inategemea alikuwa na madiwani wangapi. Inawezekana walikuwa hao tu wawili!:smile-big:
  7. K

    CCM yawaita watanzania ni VIBAKA?

    Hii inanikumbusha siku Nape alipoenda Tandahimba na kuwaita Wapinzani kuwa wehu na wafuasi wao ni makopo na 2014 Tandahimba mjini ehu wakaongezeka na makopo yakaongeseka mara dufu.
Back
Top Bottom