:evil:Hivi ukitafakari kauli hii ya Nchimbi vizuri utamshangaa kama yeye alipata taarifa hiyo kama waziri wa usalama wa ndani ya nchi yetu alichukuwa hatua gani kabla ya tatizo halijatokea? angetuambia kwanza hatua alizochukua yeye na IGP wake baada ya kupata sms hiyo, walishauriana nini au yeye...
:flypig:Mwalimu mtu wa pekee alikuwa ila tu watu wanaofanya maovu ya sasa mnataka kujifananisha na mwalimu na kutaka kupumbaza watu wawamini ninyi kupitia kauli zenu hizo kuwa ninyi ni wasafi kuliko mwalimu. nyerere alikuwa mtu wa ajabu mpenda amani, haki, aliyelinda raslimali za nchi...
Hivi swala hili la kuwa kila siku watanzania wanaminishwa kuwa kuna watumishi baadhi ni wabovu na ndio wanaoharibia CCM utendaji naomba msilitamke mtafute sababu nyingine sio hii maana hii inzuiilika na hao watendaji wakaondoka toka kwenye system. Nchi hii inapotea ila inahurumia chama changu...
Siasa za matusi na uongo ambavyo wazee wetu wanataka kuturithisha hatuzitaki kabisa katika nchi hii. Tunajua siasa ni mchezo mchafu waswahili husema hivyo lakini sio michezo hii ya kusema uongo halafu mtu mzima anaanza kuomba radhi ni aibu kwa chama na wanachama wake.:heh:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.