Recent content by keis's don

  1. keis's don

    Simu zinauzwa kwa wauzaji wa simu, na msaada na waranti inatolewa.

    Najua sasa hivi tupo kwenye ulimwengu wa adroid mimi nauza tecno p3 laki na arobaini tuh mpyaaaa
  2. keis's don

    Ujio wa tecno ...android kwa wote

    Nauza tecno p3 iko vizuri ni adroid na inakaa na chaji balaaa call me 0657040282
  3. keis's don

    WhatsApp application for tecno

    Aje nimuuzie ya kwangu tecno p3 inasupport kila kitu anipigie 0657040282
  4. keis's don

    Kupunguza mwili

    Nilikuwa naomba msaada wenu wana jf jinsigani naweza kupunguza mwili au dawa gani naweza kutumia mwili ukapungua kwasababu ishakuwa kero siwezi kufanya lolote nipo tu. Naombeni msaada wenu madokta na raiya wenzangu.
  5. keis's don

    Barua za uwongo za wafungwa wa Hong Kong

    Duh kwa mara yakwanza naona barua inatumwa bila ya adress nainafika
  6. keis's don

    Naomba serikali impe nafasi PONDA aleze nia na madhumuni yake binafsi ya kuanzisha mihadhara

    Hipo nchi ambazo zinampa nafasi raiya yeyote kueleza mawazo yake na yakafanyiwa kazi kwa kiasi flani lakini tanzania shida tupu ukionekana uchozungumza ni cha ukwer basi utasikia tu kama ujatekwa basi umemwagiwa tindikali au wakuue kwa rilasi sasa kwa namna hii atuwez kufika hata siku moja...
  7. keis's don

    Spika Makinda: kodi ya simcards ni rahisi sana na kodi yake inaweza kulipwa na kila mtumiaji wa simu

    Hii tanzania tunapoelekea ni pabaya sana uyo ana makinda anasema ivyo kwasababu sisi walala oi ndio tutaoumia yeye aoni kama anapoteza kitu chochote na hiyo alfu moja unaweza ukafanyia mambo mengine
Back
Top Bottom