kilichobaki ni mahaba tu ila siasa ndo hivyo kuna wakati zinakuwa ngumu na mtu kukumbana na wakati mgumu xana kimaamuzi wasiwaze kwa mnyika kwakuwa ndo kijana huo ndo ukomavu kisiasa ila slaa na baregu wajizuru kwani mimi ningefanya hivyo.
hapa wakitaka jenga ccm mpya ni kuondoa lowassa kwenye ramani ya siasa ya chama cha mapinduzi.
nawots wanaomfuata/wafuasi wake. kama ananguvu aondoke na nguvu zake.
ila na upinzani wasimpokee kwanihuyu mfanyabiashara anataka akauze madawa ikulu, anawatisha watu ahame thu aende anakojua...
ukiangalia vzr Magufuri sio mtu wa siasa sana, yeye ni mtendaji.
1. hana ahadi ahadi kama walivyo wanasiasa wengine.
2. hana maneno matamu matamu ya ki laghai na kisiasa kama walivyo wanasiasa wengine.
3. anajipambanua toka kwa wengine hasa kwa utendaji kazi wake.
4. mtu makini sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.