Mwenye namba ya dalali wa vyumba /nyumba au anakijua chumba kinachopangishwa;
i. kisiwe mbali na ofisi za Ruwasa za wilaya ya Siha, mkoa wa Kilimanjaro.
ii. Kiwe self contained
Kumekuwa na utaratibu wa Dawasa kufika eneo la nyumba na kukata maji bila hata kutoa taarifa kama wanakata maji ilhali wenye nyumba wapo na namba za simu wanazo kwenye karatasi zao.
Je, hii ni sawa?
Ila hii sio ya site
Maana barabara inatumika tayari na hakuwa ujenzi wala marekebisho yanayoendelea
Hii ni michanga iliyofagiliwa na sidhani kama inafaa kwa ujenzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.