NHC watuweke wazi nini kinaendelea na ujenzi wa morocco square.
Miaka mingi imepita na mradi umelala. Ulianza kwa kasi na matuamini makubwa katika kukuza uchumi wa dar es salaam.
Ni disappointment kubwa sana.Mradi ushavuka asilimia 50
But still haushi.
Smartphones na electronics devices zitumie charger aina Moja.Naona itakuwa poa.
Iphone devices ndo zinaongoza kutumia charger tofauti na devices zingine.
Tuki adapt standard charger,itakuwa cost effective kwa wananchi na pia positive kwa mazingira kwa kupunguza electronic waste.
Serikali iangalie hili swala,kwa jicho la tatu.Jeshi la polisi ni nguzo muhimu katika usalama,amani na ulinzi kwa wananchi.
Matatizo mengi ya kiusalama kwa wananchi yanaweza kuepukika.Jeshi la polisi likiwa kinafanyi kazi kwa ufanisi.
Kwa nini nasema liongezewe bajeti na funding
Kwanza jeshi...
Wote tuna ndoto za kutimiza baadae, na tu-plan ya jinsi ya kuzitimiza na nyingi zitatuingizia fedha tukizitmiza.
Wanajamii wenzagu, kwenye asilimia ngapi unanafasi ya kuwa bilionea na ukiweza jibu kwa nini.
Wanafunzi wana vitu vingi sana kichwani,kihisia na wanapitia mabadiliko mengi sana. Wanahitaji kupata majibu kuhusu yote hayo.
Walimu wanasoma somo la saikologia wakiwa wanasomea ualimu.Lakini haitoshi,kwanza wanamajukumu mengi ya darasani,yanayozuia yeye kushughulikia matatizo binafsi ya...
Nikiwa mtoto mama yangu alikuwa akipiga gym, kila aamkapo kwa kunyanyua jiwe zito alilokuwa kalitafuta na kulihifadhi kibarazani. Nilikuwa nacheka sana nimkutapo asubuhi akifanya hilo zoezi na kukaa mbele yake nikikodoa tu macho.
Nimekuwa mtu mzima sasa, nilipokumbuka kile kitendo cha mama...
Mimi bado sijaoa,lakini hupenda kuwauliza watu waliooa na kuolewa hili swali. Cha kushangaza asilimia kubwa ninao wauliza, hunijibu wasinge mchagua mume au mke walienae kwenye ndoa.
Na asilimia kubwa wanaume ndiyo ,hujibu wasingemuoa mke aliyenaye kwa sasa, kuliko wanawake.
Ukiuliza sababu...
Naitwa Emmanuel ni kijana wa miaka 28,nilizaliwa na tatizo la ngiri maji mawasiliano.Ni ugonjwa ambao ungetibika nikiwa bado mtoto mdogo,lakini kutokana na kutopata elimu sahihi,Wazazi wangu walishindwa kulivalia njuga swala hili.Mpaka leo hii naishi na tatizo hili .Napenda kuchukua nafasi hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.