Recent content by Keagan Paul

  1. Keagan Paul

    Accountant mwenye CPA Anahitajika

    Wakuu bado tunahitaji Accountant mwenye CPA, Mawasiliano yetu ni hrfbde@gmail.com
  2. Keagan Paul

    Accountant mwenye CPA, Aliyepo Dar anahitajika

    Habari zenu Wakuu, Accountant mwenye CPA anahitajika, Usahili ni Jumatatu tar 11 August 2025. Tuma CV yako hrfbde@gmail.com
  3. Keagan Paul

    HR aliyepo Dodoma anahitajika

    Habari zenu Wakuu. Anahitajika HR aliyepo dodoma, mwenye uzoefu wa kufanya kazi Kiwandani. Tuma CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com
  4. Keagan Paul

    Warehouse Manager na Logistics Manager wanahitajika

    Habari Wakuu, Ofisi ipo Dar es Salaam wanahitaji Warehouse Manager & Logistics Manager mwenye uzoefu. Naomba tuma CV zako kwenda hrfbde@gmail.com Ahsanteni
  5. Keagan Paul

    Warehouse Manager & Logistics Manager wanahitajika

    Habari Wakuu, Ofisi ipo Dar es Salaam wanahitaji Warehouse Manager & Logistics Manager mwenye uzoefu. Naomba tuma CV zako kwenda hrfbde@gmail.com Ahsanteni
  6. Keagan Paul

    Kama upo Mwanza na ni sales Officer mwenye uzoefu, tuwasiliane

    Ni muhimu makazi yako yawepo Mwanza, uwe umewahi kufanya Kazi ya Sales Mwanza. Unaijua Mwanza vizuri. Naomba nitumie CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com
  7. Keagan Paul

    Nataka kuishi nje kabisa ya mji na mbali kabisa na jamii pembezoni ya milima (mountains cabins life)

    Uko sawa Mkuu, Mimi nakuelewa, Mimi nimeandaa hayo maisha kwa miaka kama 5 sasa. Nilitafuta eneo kama Ekari 6 kwenye Misitu ya Iringa..Tayari nilipanda mazao ya muda mrefu. Huwa naingia Porini na kutoka, kuna harakati Mjini namalizia, mwakani nitaingia Porini mazima
  8. Keagan Paul

    Accountants wanahitajika

    Habari Wakuu, Kiwanda Kipo Dodoma kinahitaji accountants waliomaliza chuo Mwaka jana(2024) au Mwaka juzi(2023). Naomba tuma CV zako kwenda hrfbde@gmail.com Angalizo: Usitume CV zako kama hujamaliza mwaka 2023/2024. Ahsanteni
  9. Keagan Paul

    Nafasi za Kazi Kiwandani (Machine Operators)

    Habari Wakuu, Kiwanda Kipo Dodoma cha Alizeti kinahitaji wafanyakazi wa ndani ya Kiwanda wenye kujua ku operates Machine mbalimbali. 1. Boiler Operator 2. Refinery Operator 3. Oil Crusher Operators 4. Oil Packaging 4. Forklift Operator Kama una uzoefu kwenye moja ya eneo hilo naomba tuma CV...
  10. Keagan Paul

    Madereva 20 wanahitajika

    Habari zenu Madereva 20 Wanahitajika Ni Kiwanda cha Mafuta ya Alizeti Mahali pa Kazi: Dar es Salaam /Dodoma. Wanahitajika wenye uzoefu wa kuendesha Magari makubwa Mwenye Kujua kuzungumza Kingereza vizuri atapewa kipaumbele. Ambatanisha Picha yako ndogo ya Passport na CV yako: hrfbde@gmail.com...
  11. Keagan Paul

    Human Resource Officer anahitajika

    Habari zenu Human Resource Officer anahitajika Ni Kiwanda cha Mafuta ya Alizeti Mahali pa Kazi: Dodoma. Anahitajika HR mwenye uzoefu wa kufanya Kazi viwandani. Mwenye Kujua kuzungumza Kingereza vizuri, Labour Laws na Ujuzi wa kutumia Computer vizuri. Tuma CV yako: hrfbde@gmail.com Utapigiwa...
  12. Keagan Paul

    Makonda si ungesema umeandaa press conference ya kujijenga kisiasa?

    Mkuu kumbuka toka Kinana amejiengua hadi sasa Chama hakina Makamu mwenyekiti, Nadhani hivi karibuni Chama kitaitisha Mkutano wake Mkuu na kuna mabadiliko yatatokea halafu ni kama jamaa atakula Shavu, ni kama ameambiwa Jisafishe kwanza
  13. Keagan Paul

    Sales & Marketing Officers wanahitajika

    Habari zenu Sales & Marketing Officers wanahitajika Ni Kiwanda cha Mafuta ya Alizeti Mahali pa Kazi: Dodoma & Dar es Salaam. Wanahitajika watu wenye uzoefu wa kuuza Mafuta ya Kupikia ya Alizeti. Wenye database ya Customers wa Mafuta. Mwenye Kujua kuzungumza Kingereza vizuri na Ujuzi wa kutumia...
  14. Keagan Paul

    Welders Wanahitajika

    Habari zenu Wakuu Tunahitaji Welders wazuri ambao wanauwezo wa kusoma Michoro (Drawings) na kuifanyia Kazi. Mahali pa Kazi: Dodoma Tuwasiliane: 0761584652
  15. Keagan Paul

    Warehouse Manager mwenye skills za Mechanics anahitajika

    Mahali pa Kazi: Dodoma Anahitajika Warehouse Manager ambae anazijua Mashine mbalimbali vizuri. Ni warehouse yenye machine equipments nyingi. Hivyo, anahitajika mtu ambae atasimamia warehouse lakini awe anazijua machines mbalimbali na kuzifunga. Awe ana fahamu hukusu Warehouse Management...
Back
Top Bottom