Huyo Muslim amezaliwa na kukulia Kigoma, kwa hiyo siyo wa kumshangaa Kwa alichokifanya, watangulizi wake wote waliotokea mkoa huo walishahama ndani ya Chadema alikuwa amebaki peke yake
Wanahama ama wananunuliwa na kuahidiwa vyeo? Watanzania wameshachoka na hii miaka 2 tu ya shida wanazozipata, wanafunzi Elimu ya juu zaidi ya 55% wenye kukidhi vigezo na sifa wamekosa mikopo, Huduma za jamii zimezorota kuliko wakati wowote ule katika nchi hii, ndo maana wapinzani wanawakimbiza...
Kukusanya Pesa siyo faida..... Kama hujuhi uwe unanyamaza...... Kufanya mauzo mengi siyo kupata faida, wanaweza kuwa wamepata hasara katika makusanyo hayo wewe mamaa
Lilikuwa darasa bali matambo ya irrelevance issues na matamko ya maneno ya kisheria, Hakika Prof Kabudi Alichemka Sana na pressure ilimpanda kiasi cha kunywa glass Saba za maji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.