Recent content by Kazinza26

  1. K

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutumia MB/Data kidogo katika mitandao ya kijamii, Instagram, Facebook n.k

    MB 70, MB 100, MB 200, au MB 300 zinakutosha kwa siku? Binafsi mimi hazinitoshi, kama na wewe hazikutoshi basi leo nitakuonyesha namna ya kutumia na kupunguza matumizi yako kwa siku. Kwa hali ya kawaida au mara nyingi watu wanatumia kiasi kikubwa cha Data kuperuzi katika mitandao ya kijamii...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuzuia picha na videos za WhaatsApp zisionekane katika gallery ya simu yako

    Ukizihitaji utafanya kinyume chake kwa kufuata hatua zilizopo hapo juu
  3. K

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuzuia picha na videos za WhaatsApp zisionekane katika gallery ya simu yako

    katika file zitakuwepo, gallery haitazitambua zitaonekana kama ni hidden files
  4. K

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuzuia picha na videos za WhaatsApp zisionekane katika gallery ya simu yako

    Hapo unaweza kutumia njia zingine ya kuangali nakudownload picha au video ambazo unahitaji zionekane katika gallery. unaweza kuchagua na kutumia njia hizi tatu;- kuzuia moja kwa moja picha na video zisijidownload kabisa. Kuzuia picha na videos zisijidownload kwa baadhi ya watu au magroup...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuzuia picha na videos za WhaatsApp zisionekane katika gallery ya simu yako

    Unaweza ukawa na watu kibao au magroup mengi katika whatsapp ambayo yanaweza kuleta usumbufu kutokana na picha au video zinazo tumwa. Kama hauhitaji usumbufu huo na husingependa picha au video hizo zionekane katika gallery ya simu yako basi fanya na kufuata hatua fupi zifuatazo:- Ingia katika...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Galaxy C5 imezima gafla

    Basi inawezekana ikawa nitazo la software, wenda umeweka App mpya ambayo ndio inaleta shida. jaribu kuipeleka kwa fundi abadili OS/flash
  7. K

    JamiiForums Tanzania MSAADA WA JINSI YA KUFICHA APPS KWENYE ANDROIDS.

    Tumia Vault Mkuu. Jinsi ya kutumia Chek maelekezo hapa
  8. K

    JamiiForums Tanzania MSAADA JINSI YA KU CREATE WEBSITE

    Ni rahisi, jaribu kunicheck ntakuelekeza jinsi ya kutengeneza tovuti na namna ya kuipata domain name.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Galaxy C5 imezima gafla

    Jaribu kuiboost kwa kuichaji au jaribu kama unaweza kuazima betri nyingine ili uangalie kama tatizo linaweza kuwa ni betri.
Back
Top Bottom