Recent content by KAZINGOMA

  1. KAZINGOMA

    Topic gani Hisabati iliyokuwa inakushinda (O-level/A-level)?

    Ahaa!!mambo ya probability ni balaa..kupata tu maswali yake ni probability.
  2. KAZINGOMA

    Wazo la kuwakusanya vijana 100 Wilayani Sikonge, na kwenda porini kuanzisha kijiji chao ni jema

    Alafu hivi kwann watanzania tuna kasumba ya kupinga kila kitu bila kutathmin faida yake, kisa tuu mwenzako kafanya..tupeane sapoti jamani ili tuendelee.afu mtu anaepinga hana hata idea kichwani..
  3. KAZINGOMA

    Wazo la kuwakusanya vijana 100 Wilayani Sikonge, na kwenda porini kuanzisha kijiji chao ni jema

    mi nadhani masoud kipanya ni moja ya vijana wabunifu tanzania!!wengine wanavyokazana na social media l,mwenzetu anafkiria nn kifanyike!!Ni bonge la idea na litakuwa bomba sana kama watapewa support na mitaji wakishamaliza hayo mafunzo..
  4. KAZINGOMA

    Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

    m nakubaliana na swala la kwenda chuo moja kwa moja..elim ya advance ina changamoto sanaa!!
  5. KAZINGOMA

    Job Interview.

    ndo balaa la kukariri hayo!!!
Back
Top Bottom