Rais Magufuli ameonesha mfano kwa kuzungumzia amani mbele ya Maaskofu.
Mimi nimeona Magufuli ndio kazungumza kama Askofu zaidi maana kanukuu vifungu 24 vya Biblia. Nimeshangaa Askofu Mkuu Mpya wa Arusha Isaac Amani kuanza kukumbushia yale ya waraka.
Angalau Askofu Ruwaichi amenyooka vizuri
“Nimepokea kwa mshtuko na masikitiko makubwa taarifa ya vifo vya watu 12 waliopoteza maisha katika ajali ya barabarani iliyotokea jana usiku katika wilaya ya Igunga mkoani Tabora, nawapa pole wafiwa wote, ndugu, jamaa na marafiki walioguswa na msiba huu mkubwa.
“Aidha, nalitaka Jeshi la Polisi...
Uchambuzi huu bora sana. Hapa suala sio akina Msigwa wala vijana wa Lumumba, hapa tatizo ni sisi wote Watanzania. Economist wanaishambulia nchi yetu, wanamshambulia Rais halafu tunakaa kimya wote waandishi wa habari, wasomi, wachambuzi wa siasa na kila mtu eti tunamsubiri Msigwa na Lumumba. Tena...
Hapa hakuna cha Maandamano.
Mimi nachoona kitatokea watu hawataamana na zitatafutwa sababu za kisiasa. Na Tayari Mbowe ameshaanza maigizo eti watu wake wanamuomba atoe ruhusu ya kulianzisha timbwili. Yeye anakataza.
Mimi nasema ndugu Mbowe toa ruhusu watu wako wafanye vurugu ili sisi tuone...
UJUMBE HUU AUSOME Ndg. JULIUS MTATIRO
Na Kalisto Joseph
Wewe na kundi la CUF-Maalim Seif umejipa cheo cha Mwenyekiti wa Muda wa CUF. Najua kuna mvutano lakini uwehu unaoufanya mitandaoni nashindwa kuelewa ni Mwenyekiti wa Muda wa CUF au ni Mwenyekiti wa Muda wa kitengo cha instagram...
Ninachompendea JPM ni kufuatilia mambo anayoyaagiza. Jambo analitoa na mnaona mwisho wake.
Naiona harufu ya kunufaika kwenye Airtel kama tulivyonufaika kwenye Makinikia. Udumu JPM, polepole utaeleweka tu. Ili mradi unapigania watanzania historia itabaki kuwa mwalimu mzuri hata baada ya...
Na mimi nikiwa mwandishi wa habari mwenye weledi nakuona mwandishi wa uzi huu umeongozwa na CHUKI DHIDI YA KURUGENZI YA HABARI YA IKULU.
Hoja zako za sifa za ukubwa wa habari unaoifanya ipi itangulie zipo sahihi. Lakini labda nikuulize ukubwa wa habari hutegemea nini? (Zingatia angalau sifa...
MAASKOFU MNAOLETA SIASA MADHABAHUNI KUMBUKENI BUSARA ZA MZEE MAKAMBA.
Najiuliza sana hawa Maaskofu wanaotokwa mapovu kumshambulia Rais Magufuli madhabuhini dhamira yao nini?
Au nao wanataka kupata ubatizo wa moto kama anavyosema Mzee Yusuf Makamba?
Wamegeuza madhabahu kuwa uwanja wa siasa za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.