Recent content by Kazenge

  1. K

    JamiiForums Tanzania Jakaya Kikwete akiwa na Timu ya mpira wa kikapu Dar City nchini Afrika Kusini

    Hiyo timu haishindi tena mechi yoyote,hiyo jamaa akishatembelea timu lazima itolewe kwenye mashindano
  2. K

    JamiiForums Tanzania TZS 10 million Challenge Kwa Mawakili wa Serikali

    Italiwa kuna kipindi chedema waliandama mpka umoja wa mataifa na walilindwa na polisiccm
  3. K

    JamiiForums Tanzania Mgombea Uspika wa bunge, Veronica Tyeah: Nampongeza Rais Samia kuwa role model wa wanawake amechaguliwa kwa kura nyingi na kishindo

    Naona vibaraka wapo kazin wakitaka kugawana vyeo bungeni
  4. K

    JamiiForums Tanzania Membe na CHADEMA kukosekana kwenye msiba wa Rais Mstaafu Benjamin Mkapa inauma sana

    Nahisi umevaa ped na Ukizingatia huu ni mwisho wa mwezi
  5. K

    JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo picha Zanzibar CCM Urais itachezwa

    Makame Mbarawa au profesa yupi
  6. K

    JamiiForums Tanzania Majanga: Miradi ya Magufuli yote imekwama

    Na utakuwa umesahau na mradi wa stand ya mabasi inayojengwa Nyamuhongolo mkoani Mwanza imekwama baada ya mkandaeasi kutopewa pesa ya kuendeshea mradi sasa amepunguza asilimia 94% ya vibarua na mafundi pamoja na wafanyakazi wengine kama Technician na operetors kwa hiyo hali ni mbaya jamani...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Huku ni kufilisika kisiasa

    Hayaonekani
  8. K

    JamiiForums Tanzania Dstv hamjambo?

    Bora hata wengekuwa na local chanel za kueleweka tungekuwa tunalipia tuangalie hata taarifa za habari lakini humu unakuta tbc zbc
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Serikali inaacha uvumi unaondelea kwenye mitandao uendelee?

    Mkuu wewe jifukize tu haka nikaugonjwa kadogo.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Vazi la taifa: Japo wamependezea, for the sake of patriotism & national unity, je ni busara sare za kitaifa kunasibishwa na sare za chama fulani?

    Mkuu hili nililiona nikajiuliza hivi kama Taifa tumefikia huku alafu nikajijibu mwenyewe kuwa nchi hii watu wana hofu kupita kiasi.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Je, tumekubali na tutahudhuria Sherehe za Uhuru za mwaka huu wa 2019 kama Mgeni Rasmi kwakuwa zitafanyika Mwanza au?

    Jibu ni rahisi tu sherehe zinafanyika usukumani na sisi ni wasukuma
Back
Top Bottom