Recent content by kayuguyugu

  1. K

    Imarisha ndoa yako

    Kaka tupo
  2. K

    Mke wangu nimfanye kitu gani? Anatembea na mfanyakazi mwenzie

    duhhhhhh!!!!! hata kuiurumia dada yangu?haya bana shemeji asijekufanyia hivyo ukatoa mapovu;hujambo lkn
  3. K

    Mke wangu nimfanye kitu gani? Anatembea na mfanyakazi mwenzie

    uenifurahisha sana bro uliposema wamepewa kope lkn wanazikata hahaha!!!! nitacheki inbox
  4. K

    Mke wangu nimfanye kitu gani? Anatembea na mfanyakazi mwenzie

    asate kaka kwa ushauri mzuri story ni kweli kabisa hata hivi baada ya kuandika huu uzi nimepokea msg 47 za kukojozana na njemba amemtumia video ye dem yuko uchi anacheza mziki.tena tumekaa mm hapa yy kule na watt wanaoa Tv huku anachat na jamaaa na mm huku napokea copy zao na msosi amepka...
  5. K

    Mke wangu nimfanye kitu gani? Anatembea na mfanyakazi mwenzie

    duhh!!!!bonge la wazo bro i m gonna think about it
  6. K

    Mke wangu nimfanye kitu gani? Anatembea na mfanyakazi mwenzie

    good response nitaifanyia kazi hilo wazo
  7. K

    Mke wangu nimfanye kitu gani? Anatembea na mfanyakazi mwenzie

    mimi na mke ni watanzania lkn jamaa mchepuko wake ni MCONGO kwa Kabila swali la pili :yes tulifunga ndoa msikitini
  8. K

    Mke wangu nimfanye kitu gani? Anatembea na mfanyakazi mwenzie

    Baada ya kuona kama mke wangu ameanza kuwa na katabia kabaya nilianza kumfatilia katika simu yake na kugundua kama kuna kijana anayefanya kazi pamoja anamsumbua sana.Nilikuta meseji nyingi sana za kutongozana na nikazikopi kwangu baadhi yake huku nasuburi nimuulize. Niiliipomuuliza kuhusu huyo...
  9. K

    Uzalishaji mdogo wa testosterone husababishwa na nini?

    Naombeni kujua hili tatizo la uzalishaji mdogo wa homoni za testosterone husababishwa na nini na tiba yake ni nini?
  10. K

    Mchepuko sawa, lakini nyumbani patupu

    mkuu naomba kujua hili tatizo la uzalishaji mdogo wa homoni za testosterone husababishwa na nini na tiba yake ni nini?
  11. K

    Mchepuko sawa, lakini nyumbani patupu

    mkuu asante sana kwa ushauri wako mzuri,kunakitu umesema kimenigusa kabisa ,ni kuangalia sana porno film,kweli nimekuwa muathirika mkubwa kuangalia movies hizo. Kuanzia leo naacha kuangalia ili nioe kama nitarudi katika hali yangu.Hal hiyo inanikosesha sana amani ndani ya nyumba yangu,nashindwa...
  12. K

    Mchepuko sawa, lakini nyumbani patupu

    Ndugu wanajamii naomba ushauri kuhusu mchepuko na mama watoto wangu,ninapo kuwa na mchepuko kitu kinasimama ile mbaya lakini nanapokutana na mama watoto napata hamu kabisa ya tendo na kitu kinasimama kweli punde nanapotaka kupanda na kuchomeka kitu ndani basi hupoteza nguvu. Kipindi chote cha...
  13. K

    Mtangazaji Biunga Byaumbe wa BBC yuko wapi?

    MTANGAZAJI HUYU YUKO WAPI? Naomba kufahamiswa kuhusu reporta wa BBC kutoka DRC aitwaye BIUNGA BYAUMBE Nimuda mrefu umepita hajasikika,naomba kufahamishwa tafadhali nilikua nampenda sana repota huyu
Back
Top Bottom