cjawah kutumia njia ya uzaz wa mpango..cjawai pata wala toa mimba kifupi cjui mimba nini tangu kukua kwangu mpaka hvi leo ninamiaka 30.nimeshalia mpaka basi.
Jamani mimi ninatatizo la uzazi, mirija ya uzazi imeziba siwezi kupata mtoto. Ndoa yangu ipo matatani, daktari amesema mrija mmoja umeziba na mwingine ni mild.
Amenipa dawa nitumie kwa miezi sita, kwa matazamio nauliza mrija ukiwa mild kuna uwezekano wa kupona?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.