Mambo ya Mungu ni magumu sana kuyaelewa. Kwa Mimi ambaye ni Mkatoliki nimemuelewa papa. Kazi yake ni kuwahubiria watu juu ya upendo wa Mungu Kwamba matendo yao wanayoyafanya ni chukizo mbele za Mungu(dhambi) hivyo wanapaswa kuhubiria neno la Mungu Ili wabadilike na neno la Mungu linahubiriwa...
Ni kweli kabisa barabara ya Mpiji Magoe ni mbovu zaidi,kutoka Mbezi stand ya daladala mpaka mwisho wa gari (Kwa kengega) umbali wa kama 11KM gari linatumia lisaa lizima kufika. Kwa ubovu huo magari nayo yameharibika karibu yote,usafiri umekuwa wa tabu hasa asubuhi na jioni. Watu wanapata shida...
Mambo yamebadilika kidogo,ili kuanza kidato Cha kwanza hata kama ni private school ni lazima akachukue Prem number shule ya msingi alikomalizia,na hizo Prem number zinatolewa na Baraza la Mitihani (NECTA)
Vinchi vyetu hivi vidogo vidogo vinafahamika siku zote mpaka Ikulu na mataifa yenye nguvu. Kwa hiyo hakuna cha kuficha,wakati siku zote tupo uchi. Tuendelee tu kukaa uchi tena kwa Sasa tumekaa uchi ili tuingize pesa
Bila shaka zimetoa serikali lakini anayeruhusu fedha hizo zitoke ni Raisi anaweza akaamua tu sisitoke Kama ambavyo watangulizi wake walifanya,maana mradi huu ni wa muda mrefu. Kwa hiyo tusimlaumu mtoa mada mbali tuilaumu Katiba yetu. Tuungane kwa pamoja kuhamasisha Katiba mpya.
Mleta uzi yupo sahihi,Kuna mambo mawili yamefanyika.
1. Deni la HESLB limerekebishwa kwa maana kwamba lililopo kwenye Salary slip kwa Sasa linaendana na Loan statement ya HESLB, shahidi ni mimi mwenyewe.
2. Wenye mikopo yao benki na taasisi nyingine za kifedha, kiwango Cha marejesho kwa mwezi...
Duh! Naona malumbano yamekuwa makali Sana. Ingekuwa tupo uso Kwa uso watu wangezichapa Sana Kwa sababu ya mada hii. Tuwe wavumilivu na wenye kiasi,lakini jamii yetu Kwa sasa inahitaji watu wanaosema ukweli japokuwa ukweli unauma. Suala linakuja,je huo ukweli unasemwa kwa lugha ya namna gani...
Kuhusu kunuka mdomo(kutoa hewa yenye harufu mbaya) kunaweza kusababishwa na vitu vifuatavyo.
1. Uchafu ulioganda kwenye meno(mabaki ya vyakula)
2. Maambukizi kwenye kinywa (meno na fizi)
3. Maambukizi kwenye Koo na pua.
4. Maambukizi ya bakteria wa vidonda vya tumbo na
5. Kutosafisha kinywa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.