Recent content by KAY GEE

  1. K

    Anahitajika mtu mwenye cv ya hivi

    Mkuu unachotaka ni jib ndiyo au Hapana au maelezo? Ndiyo ... Reference should biodata you!
  2. K

    mafunzo mafupi ya ualimu kwa graduate wa vyuo

    Mkuu kwa kweli hata hili kwa Serikali yetu bado litakuwa gumu kwani hata walimu wenyewe waliosomea fani hiyo wanasoteshwa mitaani na wengine wanahangaika na mibahasha mijini wakitafuta kazi kwenye mabenki na makampuni... watu siku hizi bana ni ma master key na mbaya zaidi wanatafuta ma simple...
  3. K

    office Administrator

    :lol: Thanks for the post but the email seem to contain errors, please correct them if any or give us another means... please Sifuny
  4. K

    List of shortlist - nao & necta

    Downloads the attachment, and use Search Function To minimize time and increase possibility of knowing what is goiing on easilier ( Ctrl +F) Then enter the name
  5. K

    Kuitwa kwenye Usaili na Sekretarieti ya Ajira

    http://www.nao.go.tz/files/vacancy/TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI NAFASI ZA NAO NA WENGINE - 25 JULAI, 20111.pdf
  6. K

    Kuitwa kwenye Usaili na Sekretarieti ya Ajira

    Thanks Mkuu Mungu awasaidie Waliochaguliwa......
  7. K

    Wadau changamkieni hapa....."exciting vacancies = plus finance ltd"

    mmmhh.. mkuu kuwa na kazi kisiwe kigezo cha kutoa komenti bila utafiti, kumbuka kuna njia nyingi za kusearch uwepo wa kitu, na hata hivyo kuna njia zenye upekee katika kukupa sababu na uwezo wa kukomenti, kwa mfano ungeweza kupiga simu kama sehemu ya utafiti ili kujua uhalisia, pili unaweza...
  8. K

    Wadau changamkieni hapa....."exciting vacancies = plus finance ltd"

    PLUS FINANCE LTD EXCITING VACANCIES A: BUSINESS CONSULTANT (1) - First Degree or above with specialization in Business Administration. - Able to demonstrate high capability in marketing of company services - Capability in preparation of business plan and proposals -...
  9. K

    kutapa taarifa sahihi ni hatua kubwa, usijidharau .. unaweza!, jaribu!

    PLUSFINANCECOMPANYLIMITED "Business Consultancy and Credit Services" It is Possible to move from Zero/ Business Idea To Great Success Quality Of Our services, Timeliness, Affordability, Reliability, Truth and Honest is our Key factors we prepare a Bankable business plan We Prepare Project...
  10. K

    kutapa taarifa sahihi ni hatua kubwa, usijidharau .. unaweza!, jaribu!

    PLUS FINANCE COMPANY LIMITED ”Business Consultancy and Credit Services” It is Possible to move from Zero/ Business Idea To Great Success Quality Of Our services, Timeliness, Affordability, Reliability, Truth and Honest is our Key factors we prepare a Bankable business plan We Prepare...
  11. K

    Okoa muda, ongeza ujuzi, panua network - pata ama fanya kwa wepesi zaidi.

    mkuu rejea kichwa na huduma "we facilitate masters and undergraduate students preparing research proposal and report writing on their own" .. tunamuwezesha mhusika kuvua samaki yenye mwenyewe na hatumpi samaki. =================karibu========================
  12. K

    Okoa muda, ongeza ujuzi, panua network - pata ama fanya kwa wepesi zaidi.

    mkuu nashukru kwa kuwa una hoji na kujijibu, na pengine kuhisi umetukosea.. ukweli ni kwamba hakuna huduma inayoanzishwa kimantiki bila hitaji - wapo wahitaji ambao hawayajui hayo na hao ndo wahitaji tunaowalenga... hatuna namna ya kumfanya mtu asiye mhitaji kumzuia asisome ila tunapenda pamoja...
  13. K

    Okoa muda, ongeza ujuzi, panua network - pata ama fanya kwa wepesi zaidi.

    Thanks Tutorial of Research.... ni utafiti uliobaini mapungufu katika mafundisho juu ya hili... Kuna watu wanahangaika wapi wapate ujuzi wa kufanya kazi hizi either kutokana na kutokuwa kwenye mkondo rasmi au mengineyo mengi... mkku kila mtu ana upekee wake na sikwamba unalolifikiria ndilo hasa...
  14. K

    Okoa muda, ongeza ujuzi, panua network - pata ama fanya kwa wepesi zaidi.

    ni kweli mkuu, ila kinachofanyika ni kumuwezesha mhusika kufanya kazi hizo kwa ufanisi zaidi... kwani kutokana na utafiti wetu tumegundua kuwa wahusika huwa hawawezeshwi kufanya mambo kikamilifu... mkuu karibu ili ugundue utofauti, si lazima uwe mhtaji directly ila unaweza kujua nini hasa...
Back
Top Bottom