Wewe hukuelewa, marufuku ilikuwa kwa mikutano yote hadi baada ya baada ya uchaguzi kama wanavopinga matumizi ya pesa, leo wao wametumia sh ngapi kukudi fuso?
Ccm wanautawala wa kiimla, jpili tunaenda chamazi au jtatu pale pale jangwani ili mtoa mada aone nyomi alinganishe na magufili, jk aseme tena ni Photoshop
Kwa aliyeshuhudia mafuriko ya lowasa huwezi tilia manane kauli ya jk eti wanaunganisha picha. Sikumuelewa magufuli kuwa anatosha nyuma, mbele na pembeni pia atapiga kampeni had kitandani, uvunguni, shuka kwa shuka alikuwa name maana gani?
Nyalandu atuambie wale twiga waliopanda ndege KIA watarudi lini? name mwakyembe aseme kweli report ya Richmond iliyoibeba serikali isianguke na mabehewa mabovu aliyonunua TRL
Ccm hakuna jipya litakalonishawidhi niipe kura yangu, ile list ya makada wa kampeni (ya kumtusi lowasa) ndio expected baraza la mawaziri, kuna jipya gani pale?
Maporomoko ya leo si mchezo, tumetembea kwa mguu toka buguruni hadi NEC na kinondoni. Watu walifunga biashara zao kwa lengo LA kumsindikiza EL, kule kinondoni viwanja vya Biafra havikutosha, wanaopiga propaganda eti EL anasafirisha watu na kuwalipa heal ni uzushi, ule umati huwezi kuulipa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.