Sijajua serikali INA mpango gani, kwasababu toka tathmini ifanyike ikipita miezi sits hawajalipa itabidi tathmini ifanyike upya hiyo ni kisheria, lakini hakuna taarifa yoyote unayotolewa na muda unazidi kwenda, hii project imekaa kigizagiza sana na wakirudia tathmini ni hasara kwa serikali...
Unauhakika na kauli yako? Haswa kwa mtu mwenye nafasi nyeti lams hii ikulu useme hili ni jambo la mke binafsi? Uwe unaona aibu kidogo unapojadili jambo zito kama hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.