Recent content by kauli mali

  1. K

    CHADEMA kumsafisha Lowassa!

    Kuna habari zimeanza kuzagaa kuwa CHADEMA wanapaswa kumsafisha Lowassa kupitia chama chao ili aweze kugombea urais kwa tiketi ya UKAWA kupitia CHADEMA. My take: CHADEMA tegemeeni chama kuondoka mikononi mwenu mana Lowassa anakuja na timu yake na hela yake hapo ni njia ya kutimiza malengo yake...
  2. K

    Kuna nini mbona hawa ndio wanampiga Lowassa!

    Mi mwenyewe nashangaa kwa nn wengi wanao msapoti wana kashfa yan Chenge~Msabaha~Tibaijuka~Rostam na kingunge
  3. K

    Lowassa zingatia ushauri huu kama utaachwa kwenye uteuzi

    ilani ya chama ipi wakati jamaa ana ilan yake kabisaaaa kasema kipaumbele chake elimu sasa kama ilani itasema inataka kilimo kwanza hapo mgogolo utakuwa tayari
  4. K

    Lugha ya Kiingereza: Kama kuna ukweli hapa, hii ni hatari

    mkuu kula tano baba umefanya nicheke mpaka watu wamenishangaa kwenye gari
  5. K

    Kikao cha Usalama na Maadili cha CCM, kukutana leo saa nane mchana

    mkuu kingunge si ndio kamaliza Jana kuwa lowasa ana chukua inchi hii
  6. K

    Lowassa, unakumbuka kauli hii ya Kikwete?

    yeye kasema. hakuna Wa kumkata sasa huoni yeye tatizo
  7. K

    Ratiba ya mapokezi ya Wabunge wa UKAWA

    Kibo10 gairo kamanda
  8. K

    Wafuasi wa Lowassa wapanga kuzusha fujo kubwa Dodoma

    hotel pamoja na guest zo te zimejaa kuanzia tarehe 11 mpaka 13 ukiuliza wanasema Mzee kaweka oda maalum wanadai ana taka kuijaza Dodoma kama arusha
Back
Top Bottom