Na wameshatoka wapo na watoto
Ukiuliza hapo ni lawama kwenda mbele
Mara oohh mume amezid ulev,
Matumiz yote nakupatia na ulinikuta nalewa tatizo nn?
Alafu kuna wanawake wengine wanavichekesho sana,
Unawah nyumban mapema unakula bila zako chumba,
Unakuta yupo bize akija chumba saa tano na...
Kwa ujumla WANAWAKE mnatakiwa mbadilike kujidai mnaweza
Kulea watoto bila baba zao ni kutengeneza wengine kama nyie,
Alafu kuna haka katabia cku hiz mnakutana na mwanaume hata
Hujamjua vizur kuwa labda ana mke au ana ndoa unakimbilia kuvua chup
Kisa kakutoa aut cku mbili kutokana una ukame wako...
Unajua haya mambo mengine huwa yanakera sana,
Ila uvumiliv unahitajika sana kwa maana,
Mwanaume kama umeamua kuzaa naye na haikuwa,
Bahati mbaya mnaweza mkaa mkayamaliza tu,
Sababu mm naona mtoto anapo kuwa na single mam,
Kinachomuharibu atakapo kutaka kujua kuhusu baba,
Lazima...
Nilichogundu kwa Frola msoffe# c mkweli,
Na inaelekea ana mpango wa kuwa singel mama,
Ila hapa anapima upepo tu?
Umezaa naye huyo ndiye mumeo,
Hakuna mbadala hata aweje?
Kama mbaya ungetoa mimba uone,
Matatizo yake kama flan wa diamond!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.