Gharama hizo ni endepo hujajiunga na kifurushi,ila wajue kwamba hata ukijiunga na kifurushi cha GB 10 unashangaa unaambiwa kifurushi chako kimeisha,utaona msg MB za kifurushi chako ziko chini ya 15MB mara paap zimeisha hata kama hujawasha data,swali najiuliza huwa wanazikusanyiwa wapi hz MB zetu...
Kwasasa maisha yamebadilika,siyo kama zamani mtu analipa kodi hata ya Miaka miwili. Wenye nyumba wanapokea hata nusu kodi tarehe 15 unampa nusu unamalizia mwisho wa mwezi na halalamiki wala nini. Sheria iwepo labda baada ya Miaka Kumi na Tano mzunguko wa hela utaporudi mfukoni baada ya...
Atatoka vp mkuu wakati unaona anaruka free style akikaribia chini analifyatua ili asijimize chini kwa hiyo speed. Itakuwa alishuka moja moja hadi chini.
Hakuna cha ajabu hapo kwani nguvu aliyokuwa nayo Lowassa 2015 na hakukabidhiwa nchi sitoshangaa wakafanya hvyo kwani wenye kuamua nani apewe nchi ni vyombo vya usalama tukianza na mkuu wa majeshi wakisaidiana kwa ukaribu na tume ya uchaguzi. Ndg kukabidhi madaraka ni mchakato mkubwa sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.