Recent content by katoko

  1. K

    Natafuta mchumba ambae badae awe mume

    Ni pm navigezo vyote
  2. K

    Natafuta mwanamke wa kuoa

    Usijali zipo
  3. K

    Natafuta mwanamke wa kuoa

    Zipo hats usijali
  4. K

    Natafuta mwanamke wa kuoa

    Hellow, Naitwa Patrick wa Dar natafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo; Mvumilivu, mpole, mtiifu, mcha mungu, sina ubaguzi wa kabila wala dini, elimu, hata akiwa na mtoto sio mbaya, umri kuanzia 25-30, dini yeyote, mimi umri wangu ni miaka 32,dini mkristu, elimu chuo kikuu. Asanteni sana...
  5. K

    I need a male friend to chat with

    Find me via 0692659309.
  6. K

    I need a male friend to chat with

    Find me via 0692659309.
  7. K

    Natafuta mke wa kuoa

    Hapana,mgumba Sitaki
  8. K

    Natafuta mke aliye tayari na mvumilivu

    Habari wana Jf , Naitwa Yohana natafuta mke wa kuoa, kwa sasa sina kazi ya Uhakika. Mvumlvu na mstahimlivu karibu.
  9. K

    Natafuta mwanamke wa kumuoa kwa ndoa, lakini awe tayari kunitafutia kazi, kunilipia ada

    Mimi Ni Mwanaume Naish Dar Natafuta Mwanamke Wa kumuoa.Awe Tayari Kunitafutia Kazi Kwn Na Stashada,kunilipia Ada Npo Chuo Kikuu Mwaka Wa Pili,sina Ubaguz Wa Kabila,rangi,dini,elimu.Kwa Maelezo Zaidi Ni Pm Na Unitumie Namba Yako.
  10. K

    Natafuta marafiki wa kuchati nao

    Habari, Kwa jina naitwa Johnson na miaka 31 naishi Dar. Natafuta marafiki wakike wa kubadilishana mawazo na kushauriana. Wenye umri wa miaka 18-32.
  11. K

    Kwa anaepajua Mbekanyira ipo wapi?

    Habari, Naomba mnielekeze shule ya sekondari Mbekanyira ipo wapi? Je ni mjini au vijijini?
  12. K

    Natafuta mke wa kuoa anaeishi Kibaha

    Habarini wakuu, Natafuta mke wa kuoa anaeishi Kibaha atapewa kipaumbele, umri wangu ni miaka28 nipo siingle sijaoa, mke ni mtakae awe mweupe, elimu kidato cha sita na kuendelea, asiwe na mtoto umri wake 23-30. Kama upo tayari ni pm unakaribishwa
  13. K

    Natafuta mwanamke wa kuzaa nae

    Habari, Mimi ni mwanaume mwenye miaka 28yrs,natafuta mwanamke wa kunizalia mtoto. Kwa mawasiliano zaidi ni Pm
  14. K

    Afanye vitu gani ili amvutie rafiki yake waoane?

    Habari wana jamii forums Naomba ushauri kuna rafiki yangu anategemea kwenda kuonana na rafiki yake wa kike huko Kigoma. Kwa mara ya kwanza kwani hawajawahi kuonana kabisa bali wanawasiliana tu. Je vitu gani afanye ili amvutie rafiki yake waoane.
  15. K

    Jamani natafuta mke wa kuoa mwaka huu

    Nimepanga Sipokwa Wazazi.
Back
Top Bottom