Hellow,
Naitwa Patrick wa Dar natafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo;
Mvumilivu, mpole, mtiifu, mcha mungu, sina ubaguzi wa kabila wala dini, elimu, hata akiwa na mtoto sio mbaya, umri kuanzia 25-30, dini yeyote, mimi umri wangu ni miaka 32,dini mkristu, elimu chuo kikuu.
Asanteni sana...