Nilitegemea rais Kikwete angeweza kujifunza mengi baada ya ujio wa Rais Obama.
Rais Obama anavutia kwa sababu yuko kwa ajili ya wamarekani. Anapoilizwa hujibu kwa staha bila mzaha, na akizingatia kwamba anafanya hivyo kwa niaba ya maslahi ya wote na si chama wala yeye binafsi.
Sasa rais wetu...
pinda lazima aende the Hague, kwa hizi kauli zake zisizo kubaliana na katiba ya tanzania.
Yeye ang'ang'anie kauli zake kama punda anavyo ng'ang'ania barabarani kwa kuamini ugumu wa mifupa aliyo nayo.
Ila hatuna waziri mkuu mwenye hekima.
huyu makinda ni mpu... Je huwa hakai na kuangalia matukio ya vikao vya bunge?
Huyu ni zaidi ya majanga.
Vikao aendeshe yeye kwa upendeleo, lawama wapewe waandishi wa habari? Majanga.
mpumbavu ni mtu anayeongea pumba, mtu mwenye mbavu,
Yaani kiongozi mwenye mamlaka anayetoa kauli zisizo na maana, zilizo na maslahi binafsi, zisizotii sheria, zenye kutisha wengine.
easy, kama hiyo number haipo Arusha basi ni uthibitisho kwamba polisi iliyopanga hilo tukio walitumia number hiyo bandia ili kuvuruga tracing ya gali lililomleta na kisha kumsindikiza mrusha bomu. Na alivaa helmet ya polisi kichwani kwa vile asingekuwa na muda wa kusubiri wakati bomu likilipuka...
ukitaka kuona ukomavu na busara, angalia urafiki kati ya Halima Mdee na Esther Bulaya. Hawa wako vyama pinzani lakini kila mmoja anaweka mbele maslahi ya watanzania wote bila kujali itikadi za vyama vyao. Bila shaka hii inawapa upeo katika kutoa michango katika kuisaidia serikari yetu.
Hivyo...
napenda kuwapongeza, mnambowa, maundumula, kali kenye na sugi kwa kuweza kudandia gali kwa mbele. Mnatumia sana makamasi yetu kama inavyowapasa.
Hamy D, heshima kwako mkuu unauona ukweli sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.