Recent content by katebhalila

  1. K

    hotuba ya rais wa nchi kuhusu michezo.

    Nilitegemea rais Kikwete angeweza kujifunza mengi baada ya ujio wa Rais Obama. Rais Obama anavutia kwa sababu yuko kwa ajili ya wamarekani. Anapoilizwa hujibu kwa staha bila mzaha, na akizingatia kwamba anafanya hivyo kwa niaba ya maslahi ya wote na si chama wala yeye binafsi. Sasa rais wetu...
  2. K

    January Makamba awataka wananchi wawalaumu wabunge wao kuhusu kodi ya 1,000 kwa kila laini

    makamba maana yake manyoa ya ndege. Huyu mtu ni bonge la ----.
  3. K

    Wamachinga ni kwanini Wanachoma MOTO pia OFISI za CCM??

    Mambo ya analogia; shoka za kizamani ndio lazima ziwe mpini wa mti, siku hizi hata mitaimbo inatumika.
  4. K

    Du, Kiinglish cha Viongozi wetu: Inatia aibu!

    aibu sana, tena inatia kichefuchefu.
  5. K

    Rais wa Marekani kupokelewa na Balozi wa Marekani katika ardhi ya Tanzania ni sawa??!!

    Hao wana rb za ze-hague. Hata presentation zao zina negative 'connotation'
  6. K

    Watakaochezea amani ya taifa kuchukuliwa hatua - Pinda asisitiza

    pinda lazima aende the Hague, kwa hizi kauli zake zisizo kubaliana na katiba ya tanzania. Yeye ang'ang'anie kauli zake kama punda anavyo ng'ang'ania barabarani kwa kuamini ugumu wa mifupa aliyo nayo. Ila hatuna waziri mkuu mwenye hekima.
  7. K

    Spika Makinda alia na Waandishi wa habari!!

    huyu makinda ni mpu... Je huwa hakai na kuangalia matukio ya vikao vya bunge? Huyu ni zaidi ya majanga. Vikao aendeshe yeye kwa upendeleo, lawama wapewe waandishi wa habari? Majanga.
  8. K

    Dodoma: Mbunge 'Sugu' afikishwa Mahakamani na Kushinda Kesi ya Kumuita Waziri Mkuu 'Mpumbavu'

    mpumbavu ni mtu anayeongea pumba, mtu mwenye mbavu, Yaani kiongozi mwenye mamlaka anayetoa kauli zisizo na maana, zilizo na maslahi binafsi, zisizotii sheria, zenye kutisha wengine.
  9. K

    Wilfred Lwakatare: Mrejesho kutoka mahabusu Segerea

    mheshimiwa Lwakatare, respect. Endeleza mapambano imani yetu haijafungwa. Tunasonga pamoja.
  10. K

    Bomu la Arusha: Gari la Polisi PT 1179 lilitumika

    easy, kama hiyo number haipo Arusha basi ni uthibitisho kwamba polisi iliyopanga hilo tukio walitumia number hiyo bandia ili kuvuruga tracing ya gali lililomleta na kisha kumsindikiza mrusha bomu. Na alivaa helmet ya polisi kichwani kwa vile asingekuwa na muda wa kusubiri wakati bomu likilipuka...
  11. K

    Bungeni: Mdee aishukia serikali!

    ukitaka kuona ukomavu na busara, angalia urafiki kati ya Halima Mdee na Esther Bulaya. Hawa wako vyama pinzani lakini kila mmoja anaweka mbele maslahi ya watanzania wote bila kujali itikadi za vyama vyao. Bila shaka hii inawapa upeo katika kutoa michango katika kuisaidia serikari yetu. Hivyo...
  12. K

    Lissu: Serikali ya wala rushwa haiwezi kukusanya kodi!

    napenda kuwapongeza, mnambowa, maundumula, kali kenye na sugi kwa kuweza kudandia gali kwa mbele. Mnatumia sana makamasi yetu kama inavyowapasa. Hamy D, heshima kwako mkuu unauona ukweli sasa.
Back
Top Bottom