Recent content by Katali

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Kinachonitia wasiwasi si tuhuma zenyewe, bali namna tunavyozijibu. Mara nyingi tunapokuwa na mapenzi makubwa kwa kiongozi au chama, tunakuwa wepesi kuamini kwamba kila tuhuma ni uzushi na kila anayezitoa ana nia mbaya. Huo ni mtazamo wa kibinadamu, lakini unaweza kuwa na madhara makubwa. Tuhuma...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Haya mahisa na maUTT yenu Kuna vilio vinakuja, watu hawataamini

    Ndugu yangu, kila mtu ana haki ya kuwa na mtazamo wake kuhusu uwekezaji, iwe ni hisa, UTT, bondi au biashara binafsi. Lakini hoja huwa zinajengwa kwa ushahidi, si kwa matusi. Kuwaita watu "majinga", "manyumbu" au "wavivu" hakufanyi hoja yako iwe sahihi. Kinyume chake, kunadhoofisha hoja yenyewe...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Brenda: Mwenye malalamiko dhidi ya Heche awasilishe kwenye chama, tupo tayari kuchukua hatua

    Wote hao ni wahalifu aliye ua au kuiba au chochote kile ambacho ni kinyume na mapenzi ya Mungu au Sheria za nchi anastahili kuchukuliwa hatua za kisheria na kwamujibu wq Katiba yetu mwenye mamlaka ya kutoa Hukumu ni Mahakama.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Brenda: Mwenye malalamiko dhidi ya Heche awasilishe kwenye chama, tupo tayari kuchukua hatua

    Ushauri huo unakufaa tatizo hujui kama hujui.Huo ni ushahidi kwamba tuwe makini sana kuna hatari huko mbele tukapata watu wahatari.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Brenda: Mwenye malalamiko dhidi ya Heche awasilishe kwenye chama, tupo tayari kuchukua hatua

    Leo kumekuwa na tuhuma na malalamiko yanayomhusu Makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA kuhusu madai ya ubadhirifu wa fedha. Kwa sasa, madai hayo yanaweza kuwa ya kweli au ya uongo; jambo hilo linapaswa kubainishwa na uchunguzi wa haki na huru. Hata hivyo, tukio hili linatufundisha jambo muhimu...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Kalamu ya Uzalendo

    KALAMU YA UZALENDO Demokrasia Isigeuzwe Kuwa Biashara ya Chuki "Taifa halifi kwa sababu ya tofauti za mawazo; taifa hufa pale tofauti hizo zinapogeuzwa kuwa chuki." Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na mwenendo unaotia wasiwasi ambapo baadhi ya watu wanaonekana kuamini kwamba ili kupata...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Nyerere na Karume walikuwa wanaharakati. Tunaanzaje kushetanisha uanaharakati wakati taifa letu limejengwa na Wanaharakati?

    NAHESHIMU MAONI YA ASKOFU BAGONZA, LAKINI NAFIKIRI TUNAPASWA KUTENGANISHA KATI YA UANAHARAKATI WA KUJENGA TAIFA NA UANAHARAKATI WA KUCHOCHEA HASIRA. NI KWELI MWALIMU NYERERE NA SHEIKH KARUME WALIKUWA WANAHARAKATI. HATA HIVYO, WALIKUWA WANAHARAKATI WALIOJENGA TAIFA, WAKAHUBIRI UMOJA, UZALENDO...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Hatukuyazoea maisha ya Polisi na Wanajeshi kutapakaa mitaani, Nani ametufikisha hapa?

    Siasa za migogoro duniani kote—kile wataalamu wanachokiita "Uchumi wa Migogoro" (The Political Economy of Crisis). Umegundua kuwa mara nyingi, nyuma ya kelele za "kutetea wananchi" au "kulinda usalama wa taifa," kuna mtandao wa maslahi ya kifedha na kisiasa ambayo yananufaika sana pacha hizi...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Huyu Hapa Ummy Mwalimu Na Rais Samia Ikulu Wakiangalia na kufuatilia Hotuba ya Bajeti Kuu Ya Serikali

    Siasa za migogoro duniani kote—kile wataalamu wanachokiita "Uchumi wa Migogoro" (The Political Economy of Crisis). Umegundua kuwa mara nyingi, nyuma ya kelele za "kutetea wananchi" au "kulinda usalama wa taifa," kuna mtandao wa maslahi ya kifedha na kisiasa ambayo yananufaika sana pacha hizi...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Wazanzibar wanalalamikia sana muundo wa muungano na kusahau muungano ulifanywa haraka sana bila majadiliano ya kina ili kuwaokoa wasichinjwe

    TATIZO SIYO MUUNGANO WALA CCM TATIZO NI MTIZAMO UNAOTUONGOZA MFANO NCHI YA CHINA WALIPO AMUA KUFUATA MITIZAMO YAO IMEKUWA NA MAFANIKIO Kuna wakati mwingine unaweza kuhitaji kuwa kama wa China! Wachina Ni mfano mzuri isipokuwa wanapokuja Afrika! Kwa nini hakuna uchaguzi wa rais nchini China...
  11. K

    JamiiForums Tanzania No reforms, No election. Huo ndo msimamo wa wananchi

    Chondechonde tufanye kila kitu lakini tusifikie hapo
  12. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rasmi, Mahakama yapiga marufuku shughuli zote za CHADEMA

    Ni hali ya kawaida kutokea kama utatumia kettle ili kuwaondoa watawala. Njia kama hizo zilianza miaka ya 80 ambapo katika shule za Sekondari na Vyuo vikuu kulikuwa na movement za migomo na maandamano na katika harakati hizi zilikwenda sambamba na uaharibifu wa mali na hoja nyingi zilikuwa hata...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Tujifanye kuuliza - Kanisa ni mali ya mtu? Kama kakosea yeye, kwanini kanisa lifungwe?

    Mambo haya yalianza Polepole ila haikuwa raisi kuyaona. Kwasasa tunaona kama CCM na Serikali yake inafanya makosa mengi sana lakini ni hakika chama chochote kingepewa hayo mamlaka pia kungekuwa na tatizo la aina yake. Tukumbuke na kutambua kwamba CCM ina wafuasi wanaokipenda na kukikubali pia...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya Rais – TAMISEMI Special Thread: Karibu tukuhudumie, tupe Maoni, Maswali, Mapendekezo na Malalamiko

    Utafiti unaonesha raia wengi wa kigeni wanatumia mbinu ya kuoa au kuolewa na Raia wa Tanzania kwa lengo la kujipatia uhalali wa kumiliki ardhi. Watu wengi wemepata tatizo
  15. K

    JamiiForums Tanzania Gwajima si shujaa wetu lakini kwa hili la leo anaelekea kwenye huo ushujaa. Je, atakuwa salama kiasi gani?

    Utekaji upo na utaendelea kuwepo isipo kuwa utekaji wenye malengo sahihi ya kuokoa walio wengi umebadilika na kuwa utekaji wa kuokoa wacheche kwa maslahi yao yenye nia ovu. Mfano tungemgundua mapema aliyewaza na kueneza Corona huyu alistahili nini kama siyo kutekwa? Hapa Haki za Binadamu...
Back
Top Bottom