Ndugu yangu, kila mtu ana haki ya kuwa na mtazamo wake kuhusu uwekezaji, iwe ni hisa, UTT, bondi au biashara binafsi. Lakini hoja huwa zinajengwa kwa ushahidi, si kwa matusi.
Kuwaita watu "majinga", "manyumbu" au "wavivu" hakufanyi hoja yako iwe sahihi. Kinyume chake, kunadhoofisha hoja yenyewe...