Recent content by Katali

  1. K

    Wazanzibar wanalalamikia sana muundo wa muungano na kusahau muungano ulifanywa haraka sana bila majadiliano ya kina ili kuwaokoa wasichinjwe

    TATIZO SIYO MUUNGANO WALA CCM TATIZO NI MTIZAMO UNAOTUONGOZA MFANO NCHI YA CHINA WALIPO AMUA KUFUATA MITIZAMO YAO IMEKUWA NA MAFANIKIO Kuna wakati mwingine unaweza kuhitaji kuwa kama wa China! Wachina Ni mfano mzuri isipokuwa wanapokuja Afrika! Kwa nini hakuna uchaguzi wa rais nchini China...
  2. K

    No reforms, No election. Huo ndo msimamo wa wananchi

    Chondechonde tufanye kila kitu lakini tusifikie hapo
  3. K

    PreGE2025 Rasmi, Mahakama yapiga marufuku shughuli zote za CHADEMA

    Ni hali ya kawaida kutokea kama utatumia kettle ili kuwaondoa watawala. Njia kama hizo zilianza miaka ya 80 ambapo katika shule za Sekondari na Vyuo vikuu kulikuwa na movement za migomo na maandamano na katika harakati hizi zilikwenda sambamba na uaharibifu wa mali na hoja nyingi zilikuwa hata...
  4. K

    Askofu Bagonza: Tujifanye kuuliza - Kanisa ni mali ya mtu? Kama kakosea yeye, kwanini kanisa lifungwe?

    Mambo haya yalianza Polepole ila haikuwa raisi kuyaona. Kwasasa tunaona kama CCM na Serikali yake inafanya makosa mengi sana lakini ni hakika chama chochote kingepewa hayo mamlaka pia kungekuwa na tatizo la aina yake. Tukumbuke na kutambua kwamba CCM ina wafuasi wanaokipenda na kukikubali pia...
  5. K

    Ofisi ya Rais – TAMISEMI Special Thread: Karibu tukuhudumie, tupe Maoni, Maswali, Mapendekezo na Malalamiko

    Utafiti unaonesha raia wengi wa kigeni wanatumia mbinu ya kuoa au kuolewa na Raia wa Tanzania kwa lengo la kujipatia uhalali wa kumiliki ardhi. Watu wengi wemepata tatizo
  6. K

    Gwajima si shujaa wetu lakini kwa hili la leo anaelekea kwenye huo ushujaa. Je, atakuwa salama kiasi gani?

    Utekaji upo na utaendelea kuwepo isipo kuwa utekaji wenye malengo sahihi ya kuokoa walio wengi umebadilika na kuwa utekaji wa kuokoa wacheche kwa maslahi yao yenye nia ovu. Mfano tungemgundua mapema aliyewaza na kueneza Corona huyu alistahili nini kama siyo kutekwa? Hapa Haki za Binadamu...
  7. K

    Gwajima si shujaa wetu lakini kwa hili la leo anaelekea kwenye huo ushujaa. Je, atakuwa salama kiasi gani?

    Katika jamii haiwezekani watu wote mkaenda sawa ndiyo maana maazimio ya Kimataifa yakawekwa kwamba ni lazima tukubaliane kuto kukubaliana. Mambo ya utekaji yalikuwepo na yataendelea kuwepo bila kujali nani atakuwa kwenye utawala tatizo ni kubadili lugha tu kutoka kuwaondoa maadui wa taifa mpaka...
  8. K

    Mpaka sasa mkombozi aliyebaki wa nchi yetu ni mwananchi mzalendo

    Maisha haya ni mafupi sana tujitahidi kuwa hadithi nzuri hapa Duniani. Akina Fundikira,Marando Mrema Lyatonga walijaribu kwa wakati wao lakini Muda ukawa mfupi. Sijui kuna siri gani kwenye vyama vyetu vya siasa pale kinapo anza kukua na kupata uungwaji mkono mkubwa kinasabaratika na tunaanza...
  9. K

    Ushauri wa mwisho kwa CCM: Achaneni na Tundu Lissu, mnavyozidi kudeal nae ndo mnavyozidi kuharakisha anguko lenu, East Africa Spring iko njiani.

    Siasa za vurugu zinaweza kutukomboa? Hapa yetu macho na masikio ngoja tuone? Umakini unatakiwa katika kuamua njia ya kupata ridhaa ya kuiongoza nchi vinginevyo majeraha yanaweza yasitibike na kuiharibu nchi ambayo unategemea kuiongoza. Kwenda mahakamani kusikiliza kesi ni haki ya kila mwananchi...
  10. K

    PreGE2025 Polisi wasema wamemkamata Golugwa kutokana na taarifa za siri kuwa anasafiri bila kufuata sheria!

    Katika awamu ya tano ilinifanya niwaze sana na mawazo yangu yanabakia na maswali mengi mpaka leo. Hivi ni kweli kuna watu wanapambana kupata uongozi wa kisiasa ili waikomboe nchi pamoja na watu wake katika kujenga ustawi? Maana naona kama vita hii ni ya manufaa binafsi ila kwa koti la kuwatetea...
  11. K

    Tanzania hatuongozwi na hatuwajibiki kwa Bunge la Ulaya. Tutalinda uhuru na heshima yetu kwa nguvu zetu zote

    Bado tatizo lipo katika kupambana na udhalimu ni muhimu kutumia njia nyingine tofauti na uanaharakati sababu ni kwamba itakuwa rahisi sana kuwazima wanaharakati wenye mihemko hasa wale machachari. Nchi inatakiwa kupata mbinu muafaka ya kupambana na udhalimu ambapo wananchi wanatakiwa kuelewa...
  12. K

    Tetesi: Mdude yupo hai, damu nyingi zilizoonekana zilitoka kwenye kinywa baada ya kubamizwa wakati akiongea

    Siyo Poa kabisa ingawa amechangia mwenyewe hii kadhia kwa kuweka ligi na Polisi. Bado tatizo siyo Polisi Wote ndugu zangu lazima tutofautishe vikundi vinavyofanya haya lazima tutambue kwamba hawa Jamaa wana viapo vya utii nadhani hivyo vinaweza kuwalazimisha kutii hata wasiyoyataka.
  13. K

    Nikimuangalia Lissu na Maria Sarungi namuona Kibwetere alivyowaangamiza wafu wake kwa kukosa maarifa

    Haya yote yanatokana na Kukosa Maarifa. Hakuna ubishi kwamba kuna vitu haviko sawa katika utawala na siasa zetu. Chakufanya ni kutafuta maarifa yatakayosaidia kuweka mambo sawa. Wazungu pamoja na kwamba wananongwa na rangi yetu lakini wanapotaka madini yetu pamoja na malighafi nyingine...
  14. K

    PreGE2025 Balozi Nchimbi aelekeza wizara ya maji iweke msukumo mradi wa Tarime - Rorya

    Kwa sasa hata hayo maji yanayotolewa ni meusi machafu na yana harufu mbaya hivi kweli Serikali haiwezi kununua chujio na dawa?!! Katika Kero ya maksudi ni hii kwa Tarime.
  15. K

    Watu wakijazana mahakamani wakati wa kesi ya Tundu Lisu ndiyo itasaidia nini? Kesi ya Mbowe walijazana lakini alikutwa na kesi!

    Shida iliyopo ni kubaini tatizo. Je, hakuna uonevu katika uchaguzi? Je,wanaungwa mkono wa hicho wanachokisimamia? Je,wanao iba kura ili wawe viongozi wetu watakoma kuendeleza ufisadi katika majukumu yao kwa umma ambao haukuwapa ridhaa? Njia nzuri ni kukaa mezani kujadili na kufikia makubaliano...
Back
Top Bottom