Recent content by kata tuchat

  1. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkasa wangu kama 'Stepfather' baada ya kuwa na Single mother

    Acha mambo ya visu utaozea jela mkuu
  2. K

    JamiiForums Tanzania Nidhamu yako ya pesa huwa inarudi ukibakiza kuanzia kiasi gani?

    Halafu ikishabaki hela kidogo ndo mahitaji yale muhimu ambayo lazima yafanywe ndo yanapoanza kujitokeza mfululizo
  3. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jay Z ni kama nyoka kwenye Hiphop: Njia yake ya kupanda ilikuwa ni kukanyaga na kuzima wengine. Watu wa juzi hawawezi kujua true colours za J

    Ananunua tu grammar yeye na mkewe hamna kitu na kwa kutumia hela zake anatengeneza mazingira eti yeye ndiyo GOAT wa hip hop!...yeye na p Diddy ni walewale
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kuzuru kwa Rais Samia Kremlin, kubadili Siasa, vyama vya siasa, Uchumi, Ulinzi na Usalama

    Huyu yericko hajawahi kuwa na akili tola yupo chadema
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kuna namna unaweza vaa watu wakakudharau, wakakuona una ushamba au utoto mwingi.

    Kuna fashion na style lazima mtu uwe na style zako za kuvaa kulingana na umbo lako lilivyo'wakati na umri siyo kila fashion inayotoka wewe umo huo ni ushamba
  6. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania "Influencer" wa Instagram atambulisha danga - Babu wa kizungu

    Huyo influencer anaitwa nani?
  7. K

    JamiiForums Tanzania UHALISIA: Wanga ni Rafiki au Adui wa afya yako?

    Subiri wasukuma waje na povu
  8. K

    JamiiForums Tanzania Tamthiliya ya Juakali isipoisha kwa funzo kuu, basi mwandaaji asipewe tena jukwaa kama lile kueneza upotovu

    Imeshawashinda jinsi ya kuimalizia hao
  9. K

    JamiiForums Tanzania Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

    Policcm siwaamini hata kidogo nyie subirini tu
  10. K

    JamiiForums Tanzania Sugu na Nshala wadhibitiwe kwa kuhamasisha matusi

    Nonsense
Back
Top Bottom