Unafikiri bidhaa zao wanazopeleka nchi za playa na marekani ubora wake ni kama wanazoleta huku?...besides huku migodini asilimia 90 ya vifaa tunavyotumia vinatoka china,magari makubwa ya kichina ndo yanaweza kuhimili huku porini gari za ulaya huku haziwezi kabisa!...sasa kama musk anaisifia...
Nonsense!...yaani jiji kubwa kama dar mnataka mabasi toka mikoa yote yafikie kwenye stand moja!?...jiji kubwa kama hilo linatakiwa liwe na stand kubwa kadhaa kulingana na mabasi yanapotoka
Sasa mkuu kama hujui serikali ndo inapenda sasa kuwe na vijana wajinga wasiojielewa ili iwatawale vizuri!..wabet,washinde kwenye udaku insta,wawe machawa kama kina doto,wakatoe hela kwa mtoto wa diamond aliyezaliwa ndo serikali inapenda vijana kama hao hawataki werevu kama wewe!...hatari sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.