Recent content by kata tuchat

  1. K

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Sasa bakwata si taasisi ya ccm!...bakwata,uvccm,uwt nikitu kimoja
  2. K

    JamiiForums Tanzania Elon Musk: China inavutia sana. Ninawahimiza sana watu kutembelea huko

    Unafikiri bidhaa zao wanazopeleka nchi za playa na marekani ubora wake ni kama wanazoleta huku?...besides huku migodini asilimia 90 ya vifaa tunavyotumia vinatoka china,magari makubwa ya kichina ndo yanaweza kuhimili huku porini gari za ulaya huku haziwezi kabisa!...sasa kama musk anaisifia...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Nonsense!...yaani jiji kubwa kama dar mnataka mabasi toka mikoa yote yafikie kwenye stand moja!?...jiji kubwa kama hilo linatakiwa liwe na stand kubwa kadhaa kulingana na mabasi yanapotoka
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kwani field wanachuo huwa tunaenda kufanya nini?

    Hiyo veta haina workshop?...nimeenda veta kadhaa zina workshop ambazo zipo busy balaa sasa wewe sijui upo veta ya mkoa gani?...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Wamiliki wa mabasi wapewa wiki moja kurejea stendi ya Magufuli

    Jiji kubwa kama dar linakuwaje na stand moja ya mabasi toka mikoa yote!!?
  6. K

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kwenye maisha silalamiki wala kulialia na mtu tena nitatatua matatizo yangu mwenyewe

    Hata ukilia hamna mtu atakuonea huruma ndani ya hii dunia ni kupambana tu mpaka siku ya kufa
  7. K

    JamiiForums Tanzania Ben Pol: Ukikutana na mazingira haya kwa mtu unayetaka kuanzisha nae mahusiano, ni bora uwe single

    Kosa anafanya yeye msamaha unaomba wewe yaani wewe ndo unakuwa unalilinda penzi lisivurugike
  8. K

    JamiiForums Tanzania Wazee wenzangu, mnavipataje hivi vitoto vya 2000? Maana nimejaribu kila mbinu nikafeli

    Aache kuvaa na mashati ya vitenge pia
  9. K

    JamiiForums Tanzania Serikali idhibiti Betting mapema inaandaa taifa la watu wajinga wa bahati nasibu wavivu wa kufikiri na kutenda wasio na future kabisa

    Sasa mkuu kama hujui serikali ndo inapenda sasa kuwe na vijana wajinga wasiojielewa ili iwatawale vizuri!..wabet,washinde kwenye udaku insta,wawe machawa kama kina doto,wakatoe hela kwa mtoto wa diamond aliyezaliwa ndo serikali inapenda vijana kama hao hawataki werevu kama wewe!...hatari sana...
  10. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tuorodheshei hapa mikoa kondoo yenye watiifu ambayo ilikuwa imepoa 29 October

    Ni ileile ambayo iko nyuma sana kimaendeleo
  11. K

    JamiiForums Tanzania Kwenye maisha yako ya utafutaji, usije ukarogwa ukakimbilia Moshi

    Ndo maana moshi ipo vilevile miaka nenda rudi hamna mji au nchi inaendelea bila wageni
  12. K

    JamiiForums Tanzania Ukitaka hela za haraka fungua kanisa kuna majinga mengi; kinachoendelea Kawe kwa Mwamposa kinasikitisha

    Duniani wajinga ni wengi sana zaidi ya werevu na serikali hasa hizi za africa ndo zinapenda wajinga wazidi kuongezeka ili wawatawale zaidi
Back
Top Bottom