Recent content by kasumbiresa

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kwa haya mkurugenzi wa wilaya Uyui unahusika

    Huwezi kuona
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kwa haya mkurugenzi wa wilaya Uyui unahusika

    Kobazi
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kwa haya mkurugenzi wa wilaya Uyui unahusika

    Gharama za maisha zimepanda ujue mkuu
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kwa haya mkurugenzi wa wilaya Uyui unahusika

    Mbona kuna vitu vimeandikwa lkn ww umeona sketi fupi 2
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kwa haya mkurugenzi wa wilaya Uyui unahusika

    Kobazi utawajua tuuu
  6. K

    JamiiForums Tanzania Kwa haya mkurugenzi wa wilaya Uyui unahusika

    Ahsante mkurugenzi wa wilaya Uyui kwa kutuletea mkuu mpya kutoka shule X ukamleta shule Y,lakini mkuu Huyu amekuwa na matatizo lukuki kuanzia utendaji wake mpaka mwenendo wake. Huyu alitolewa X baada ya kusababisha matatizo makubwa kipindi Cha usimamizi wa mtihani. Kashfa kubwa...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Shule za sekondari wilaya Uyui upande wa ulyankuru tabora Kuna shida kubwa

    Nitashusha nondo tulia
  8. K

    JamiiForums Tanzania Shule za sekondari wilaya Uyui upande wa ulyankuru tabora Kuna shida kubwa

    Daaaah huyu bosi ni mkuda
  9. K

    JamiiForums Tanzania Shule za sekondari wilaya Uyui upande wa ulyankuru tabora Kuna shida kubwa

    Shule zilizipo tabora wilaya Uyui Zina shida kubwa sanaya kiongozi kutokana walipoewa uongozi kutokuwajibika jinsi inavyotakiwa, Kuna shule za upande wa uelekeo wa ulyankuru Kuna shida kubwa sana kitaaluma na za kiongozi Kuna wakuu wa shule wapya wanawake wamehongwa nafasi za ukuuu wa...
  10. K

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wilaya ya Uyui ina matatizo makubwa

    Ni hatari sana lkn tuache
  11. K

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wilaya ya Uyui ina matatizo makubwa

    Kaka unataka evidence nenda kwenye maaabala nyingi hazikumailiziwa waliweka majengo tuuu halafu Sasa hivi wamepewa Hela za kumailzia ila kazi zinafanyika chini ya kiwango mainjinia hawaji saiti wanapelekewa bahasha uko waliopo.
  12. K

    JamiiForums Tanzania DOKEZO TANESCO inakata Tsh 6,000 kila ukinunua umeme mwisho wa mwezi

    Tanzania Nchi yangu ukikaaa huku tanesco ukikaaa kule Vodacom ukiacha Salio kwenye cm imepitiwa yote wanakuunganisha na mahuduma usiyoyaitaji
  13. K

    JamiiForums Tanzania DOKEZO TANESCO inakata Tsh 6,000 kila ukinunua umeme mwisho wa mwezi

    TANESCO ilisema imeondoa service line lakini Cha kushangaza nimenunua umeme kwa miezi miwili wananikata Tsh. 6000, sijajua shida Nini, Ina maana siku hizi TANESCO haifuati miongozo ya wizara inafuata mambo yake? Unajua Kuna vitu vingine tunaweza tukasema Magufuli alikuwa Bora upande wa matumizi...
  14. K

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wilaya ya Uyui ina matatizo makubwa

    Nimekusoma lkn rushwa ndo zinasababisha tupate watu wasio na sifa
Back
Top Bottom