Recent content by kasukile

  1. K

    Kwanini Mtume amepoteza watu hivi?

    Kama ni waraqa bin naufali alifaroki kabla ya mtume kupewa utume wake
  2. K

    Kijana kama huna uwezo wa kuhudumia familia usioe

    Bila Shaka utakua wewe ni mzinzi saaana au unatetea uzinzi, saivi wazinzi mmekua wengi ndomaana ndoa sio kipaumbele chenu
  3. K

    Najiona kama Nahitaji kuwa mume wa mtu. Lakini misimamo ya kuwa baba najiona sina

    Nilioa nikiwa na miaka 23 na mpka Sasa nafurahia ndoa ndani ya miaka Saba .kataa ndoa ni dalili ya kukata tamaa na kuogopa majukumu
  4. K

    Tatizo la Waislamu ni kwamba dini yao ni nzuri lakini hawaifuati

    Mpka Sasa sijaona tusi Alhamdulillah
  5. K

    Ni Sahihi kwa mwanaume kuoa Hali ya kuwa ndani Hana assets yoyote?

    Kama umri wako umeenda Sana(zaidi ya 35) oa tuu lkn Kama umri wako bado subiri
  6. K

    Kilimo cha Nyanya: Aina za mbegu, mbinu za kulima na masoko yake

    Mbegu nzuri kipindi Cha joto Kali ni dhahabu f1
Back
Top Bottom