Ipo ya Airtel sme afu kumi gb 7 afu 15 gb 15 afu 20 gb20 aliye niungaga alifanya kazi kwanza baada ya kujiridhisha kweli inafanya kazi ndio nikamlipa sio kwamba yeye ananiunga kifurushi noo ananiunga kwenye hiyo huduma ya kupata vifurushi kwa bei chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.