Recent content by kassitoto

  1. K

    Serikali inalea bomu linaloitwa Sheikh Khalifa Khamis, ipo muda litalipuka tu

    Mbona jana 07 /12 /2016 kateua wengi na wote Waislam udini upo wapi
  2. K

    Sheikh Khalifa Khamis alalamika Waislam kuminywa na Serikali Kuu, TRA na Vyombo vya Dola

    Angalia uteuzi wa jana 07/12/2016 wote Waislam mnasema kuna udini???!!!
  3. K

    Mawaziri Lukuvi, Simbachawene, Manyanya hawakupita Form 6

    Lukuvi hata form 4 hakufika ni Elimu ya msingi hadi masters
  4. K

    Kwa watumishi waliositishiwa ajira kupisha zoezi la watumishi hewa

    Fuatilia wengi wa sampuli yako tayari kibali kimetoka ila agizo ni kuwa barua ya awali ya ajira imefutwa ajira inaanzia 01 /11/16
  5. K

    Mbunge James Mbatia amelazwa katika Hospitali ya Zydus, nchini India

    Hata mimi mguu unanisumbua kuliko wa Mbatia nadhani nani atanipeleka na huu ni mwaka wa sita!!!
  6. K

    Sheikh Khalifa aijibu JamiiForums, asema UKWELI sio UCHOCHEZI

    Kwa majina wewe unencourage udini sana
  7. K

    Sheikh Khalifa aijibu JamiiForums, asema UKWELI sio UCHOCHEZI

    Hapo hujajibu hoja nzito ya udini hili ni jambo baya kuliko fedha kupotea!!
  8. K

    Sheikh Khalifa aijibu JamiiForums, asema UKWELI sio UCHOCHEZI

    Udini umetamalaki hili ni baya kuliko fedha kupotea!!
Back
Top Bottom