NIMEFUATILIA KWA KINA KINACHOJADILIWA KATIKA MJADALA HUU NA NIMEBAINI MOHAMED SAIDI YUKO SAHIHI KWASABABU YEYE ANACHOELEZA NI HISTORIA YA WAISLAM KATIKA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA NA MCHANGO WAO NA SI HIVYO TU MARA BAADA YA UHURU WAISLAM HAWAKUWA NI WENYE KUTHAMINIWA NA WALIDHARAULIWA NA...
Kuna kasumba kubwa tu iliyojikita juu ya dhana ya kukitumia kiswahili kwa mawanda katika fani ya elimu na masuala mtambuka ya nchi juu ya utawala.Kasumba hizo zinakwaza kwa kiasi kikubwa hali ya kiswahili kuzidi kushika kasi ya kukua na kuenea duniani.Kila nchi iliyorazini inatoa kipaumbele...
Ijapokuwa tunahitajio kubwa sana la mabadiliko ya kikatiba ila ni sawa kabisa afanyavyo Mohamed Saidi kutukumbusha nchi hii wapi ilipotoka na kujua kuwa katika historia pia kuna mambo ya kuchukua tahadhari.Tatizo kubwa la Tanzania si katika mpya bali MFUMO KRISTO UNAONGOZA SERIKALI.Ukisoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.