Kama umewah ikuguza mgonjwa mahtuti kwa muda mrefu siku anyokaribia kufa utashangaa kuoa nafuu kubwa atakayopata!! hizi nd siku za mwisho kabisa za uhai wa kisiasa za ndugu zzk!! R.I.P My MP!!
a
ww hamnazo kweli!!!! wamwachie nani chama??? zzk na wengine ndo waondoke, chama chenye watu zaid ya million wamwachie msaliti msaliti mmoja mhuni? u cant be serious!!!
Kaka umeongea, big up!!! Hv ccm mmesahau 2010 Shibuda alivosema atapeleka jina kuwania urais pamoja na jk yaliyomkuta???? alitumwa sheikh atabiri kuwa atakufa ghafla, alipokomaa akanyimwa ubunge, maana kama angeshindwa kweli kura za maoni mbona alipita akiwa chadema tena bila kampeni? zzk...
Unapayuka!!!!!!!! Hiv mnafikiri ss watoto hatujui lolote? wakati zzk bado ni jembe nani alimwandika kwenye Mzalendo au Uhuru? kama mnaona kaonewa mchukueni mvalisheni magamba yenu!!!!
Mwache Mnyike awaadabishe wasaliti, hv wewe unamuona zitto kabwe wa maana sana!! aliyebaka demokrasia ni zzk, yy kama aliutaka wenyekiti angesubiri muda ufike achukue form na si kutoa waraka wa kipuuzi, kwanza hana tofauti na ccm ambao kila mtu anapiga mbio za kuwania urais miaka 5 kabla ya...
Nimekudharau sana!!! Maana wewe peke yako ndo uliwaona mawakala feki na ukagoma kwenda mahakamni kutoa ushahidi!!! ni ajabu sana!!! anyway mlishajua kuwa kuwa ukitaka kushinda unaweka mawakala feki, wekeni na nyie 2015 muone moto wa Mnyika!!!
Kaka hiyo ni aibu yake ( waziri) kwani Magufuli alipowaambia wenye malori wapaki jikoni si ilimgeukia aibu tupu? Anyway hao wanaowashabikia ccm naona gharama mpya haitawahusu, maana tukiwaambia maisha magumu ya watanzania yanasababishwa na ccm hawaamin kabisa!! Kwa kuwa Mungu yu hai ukombozi...
Mnyika ashau nini??? Ubungo ni Mnyika na Mnyika ni Ubungo!!! Kama mlifunga vyuo kumzuia 2010 mkashindwa safari hii mtamzuiaje??? Mtaishia kujipa moyo tu. Peopleeees!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.