Recent content by Kasongo yeeyee

  1. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Akina Bashite wanapenda sana kuona mpo busy na mambo kama haya. Wakiwaletea na akina Rio Ferdinand ndo wanamaliza kabisa kazi
  2. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Rio Ferdinand: Mimi si Mwanasiasa na sijaja Tanzania kuzungumzia siasa, sipangiwi cha kufanya

    Dah kumbe Rio ana asili ya Uganda! Hii sikuwahi kuisikia
  3. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Mabasi mengi yanayopata ajali 'VTC' zimechezewa hazifanyi kazi

    Muda huu nimepita Biharamulo (Kagera) basi la Abood linapandishwa kwenye lori lisafirishwe. Taarifa za mashuhuda zinadai kwamba liligongana uso kwa uso na lori jana jioni likitoka Bukoba kwenda Dsm.
  4. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Ni Timu gani ya Taifa utakuwa unaishabikia katika Kombe la Dunia 2026?

    Portugal🇵🇹
  5. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Kisa cha kikatili na kutisha

    Hivyo unamaanisha wote walishafariki?
  6. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Kisa cha kikatili na kutisha

    Alifariki demu au mwamba?
  7. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Wachezaji wa Real Madrid wapigana mazoezini, mmoja apelekwa hospitali

    Afadhali kijana wetu Vini Jr hajahusika kuanzia kwenye kupigana hadi kwenye kucheka kwa sauti. Angekuwa kahusika hata kwa kupiga chafya tu eneo la tukio dunia yote ingemuandama
  8. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Mwili wa James Temba, aliyepotea umeokotwa mto Msimbazi ukiwa hauna kichwa

    Waafrika bado hatujawa binadamu kamili, bado tupo kwenye evolution stage. Watanzania ndio tupo mwishoni kabisa mwa hiyo stage.
  9. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: TUCTA hawakuja na madai mapya. Kadri uchumi wetu unavyoimarika, tutaendelea kuboresha maslahi ya wafanyakazi wetu

    Hili ndilo lililokuwa kichwani mwangu exactly, na lipo obvious sana tu. Nashangaa sana namna watu wasivyoweza kusoma upepo kabisa! Kuna wadau wamesafiri huku umbali mrefu eti wanaenda kwenye maadhimisho kimkoa wamepigilia mitumba yao ya tughe, cwt na talgwu wana matumaini ya kuambulia chochote...
  10. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Leo ni Mei Mosi; Watumishi wa umma wanamkumbuka Hayati JPM kwa kuimarisha nidhamu na walimpenda

    Ni kweli utawala wa Samia ni mbovu sana ukilinganisha na wa Magu, lakini kwa watumishi 'kuumiss' utawala wa Magu kuhusiana na masuala ya utumishi sioni ikiwezekana
  11. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Hiki ndio alichokesema Thierry Hendry baada ya game ya jana kati ya PSG na Bayern Munich. UCL semi fainal

    Yeye yupo sahihi kwa upande wake kama pro, na wewe upo sahihi kwa upande wako kama shabiki. Ndio maana akasema... "for the fans, of course, it’s exciting".
  12. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu afichua kwamba alikuwa ametibiwa saratani ya tezi dume!!

    Humu ndani watu mna hasira za namna gani? Naona mnamwagiana mitusi tu lakini sioni sababu ya msingi. Au mna magomvi nje ya jf wanetu? Inashangaza sana. Na sitaki kuamini ugomvi wa Israel na Iran ndio unawafanya mnachukiana kiasi hicho. Maana ccm wapo live kabisa sebuleni kwenu wanafanya kila...
  13. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Tangazo la nafasi za kazi TAKUKURU

    Huu nao upuuzi tu! Yaani hii nchi unaweza dhani umerogwa, ni utawekewa vigezo vya ajabu ajabu ili mradi tu vikutoe ulingoni!
Back
Top Bottom