Recent content by Kasongo yeeyee

  1. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Hii nguo Kila nikiivaa nakutana na watu si chini ya watano Kwa siku wameivaa pia

    Dah nilitaka nimstue Lucas Msambwanda aje ajishindie hilo pigo, kumbe @tlaahtlaah kashapita nalo! Ila anyway, kwakuwa ni familia watashea tu si mbaya
  2. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Animals are smarter than Human beings. Man is not smarter than animals

    Ungeishia hapa ingetosha sana Kwa wanyama boya likijaribu kuusogelea uongozi litazuiliwa hata kwa kipigo kikali, na ikiwezekana litauawa kabisa. Ila kwa upande wa binadamu wenye akili ndio hukaa pembeni na kuachia mabwege yapambanie uongozi, mwisho wanabaki kushangaa mambo yakienda ovyo!
  3. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

    Huwa nawashangaa vijana wanapapatikia matako makubwa badala wawaachie wazee waliojichokea. Kijana ukikamata wa namna hii na awe fundi na msafi hata kama unaumwa unaponea hapo😁 Niliwahi kumnasa mmoja miaka kama minne imepita sasa. Alikuwa mtamu yule miss sijapata kuona. Nilimtomber usiku kucha...
  4. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Argentina ni lazima ashinde kombe la dunia, hizi hapa facts za ajabu

    Juzi niliusoma huu upuuzi nikakosa hata cha kusema nikapita zangu.
  5. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania World Cup Final: Spain 1-0 Argentina | Julai 19, 2026: | Metlife Stadium | Spain Bingwa

    😁😁😁kwa Spain kila mtu analia kwa wakati wake. Bora hata Portugal ya CR7 ilifungwa lakini si kwa manyanyaso kama ya hawa jamaa na France
  6. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania World Cup Final: Spain 1-0 Argentina | Julai 19, 2026: | Metlife Stadium | Spain Bingwa

    Itakuwa aibu kwa soka
  7. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Je Haaland ni Albino? Mdau atoa sababu ya kitaalamu kwanini watu wengi wanadhani Haaland ana features za kiafrika ndani ya ngozi ya mzungu.

    Kwahiyo nawe umekubali Haaland asiyemfikia Mbappe ni bora kuliko CR7? Mtakuwa mmeanza kumfuatilia CR7 akiwa Al Nassir
  8. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Mke wa mwana mieleka wa WWE Jay Uso, Takecia Fatu, adai talaka, ataka mgao wa mali pasu kwa pasu pamoja na pesa za matunzo

    Huwa najiuliza sana, hivi huko hakunaga mamafia wa kufanya ubaya ubwela? Huwezi kunifanyia hivyo nikuache hivihivi, never ever!!! Hata kama baada ya hapo mahakama itaamuru niuawe kwa kukatwa kiungo kimoja baada ya kingine, ila siwezi kupoteza hiyo game kifala hivyo. Kama serikali zinaamua...
  9. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Mashambo: Fedha Zinazochangiwa kwa Makamu Mwenyekiti Heche Hazitumiki Kwa Maslahi ya Chama, zinatumika kwa Maslahi binafsi

    Kumbe walianza kufanya script kule chaumama target ikiwa ni CDM
  10. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Timu za Afrika zimeonesha Uafrika wetu Kombe la Dunia

    Naomba mseme muwezavyo, ila Cabo Verde mtutoe kabisa
  11. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania FT: Argentina 3-2 Cape Verde | World Cup 2026 | Hard Rock Stadium | 4 Julai, 2026 | 7:00 Usiku

    Hii shughuli Argentina wanaenda kuwin, lakini fresh wameipata vya kutosha
  12. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Machief: Mbeya atakayeandamana atakuwa halali yetu

    Wanaotishia kutoa laana kwa muonekano tu tayari walishalaaniwa muda mrefu sana
  13. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Huu ndio utabiri wa Likud kuhusu kombe la Dunia 2026

    Magoli yapi halali yaliyokataliwa? Btw, ulitabiri ni making wa, na ubingwa umeishia hatua ya 32. Haijalishi kwa kuonewa au kwa halali shughuli ishaisha. Kama ni mkeka tayari unakuwa umeshachanika no matter what
  14. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Huu ndio utabiri wa Likud kuhusu kombe la Dunia 2026

    Ashukuriwe Mungu hufanyi kamari. Muda huu tungekuwa tunakufariji na kukupa nasaha za matumaini hapa. Ila sijui kuna pimbi wangapi uliwaingiza kingi.
Back
Top Bottom