Muda huu nimepita Biharamulo (Kagera) basi la Abood linapandishwa kwenye lori lisafirishwe.
Taarifa za mashuhuda zinadai kwamba liligongana uso kwa uso na lori jana jioni likitoka Bukoba kwenda Dsm.
Afadhali kijana wetu Vini Jr hajahusika kuanzia kwenye kupigana hadi kwenye kucheka kwa sauti. Angekuwa kahusika hata kwa kupiga chafya tu eneo la tukio dunia yote ingemuandama
Hili ndilo lililokuwa kichwani mwangu exactly, na lipo obvious sana tu.
Nashangaa sana namna watu wasivyoweza kusoma upepo kabisa! Kuna wadau wamesafiri huku umbali mrefu eti wanaenda kwenye maadhimisho kimkoa wamepigilia mitumba yao ya tughe, cwt na talgwu wana matumaini ya kuambulia chochote...
Ni kweli utawala wa Samia ni mbovu sana ukilinganisha na wa Magu, lakini kwa watumishi 'kuumiss' utawala wa Magu kuhusiana na masuala ya utumishi sioni ikiwezekana
Yeye yupo sahihi kwa upande wake kama pro, na wewe upo sahihi kwa upande wako kama shabiki.
Ndio maana akasema... "for the fans, of course, it’s exciting".
Humu ndani watu mna hasira za namna gani?
Naona mnamwagiana mitusi tu lakini sioni sababu ya msingi.
Au mna magomvi nje ya jf wanetu?
Inashangaza sana. Na sitaki kuamini ugomvi wa Israel na Iran ndio unawafanya mnachukiana kiasi hicho. Maana ccm wapo live kabisa sebuleni kwenu wanafanya kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.