Ungeishia hapa ingetosha sana
Kwa wanyama boya likijaribu kuusogelea uongozi litazuiliwa hata kwa kipigo kikali, na ikiwezekana litauawa kabisa. Ila kwa upande wa binadamu wenye akili ndio hukaa pembeni na kuachia mabwege yapambanie uongozi, mwisho wanabaki kushangaa mambo yakienda ovyo!
Huwa nawashangaa vijana wanapapatikia matako makubwa badala wawaachie wazee waliojichokea. Kijana ukikamata wa namna hii na awe fundi na msafi hata kama unaumwa unaponea hapo😁
Niliwahi kumnasa mmoja miaka kama minne imepita sasa. Alikuwa mtamu yule miss sijapata kuona. Nilimtomber usiku kucha...
Huwa najiuliza sana, hivi huko hakunaga mamafia wa kufanya ubaya ubwela?
Huwezi kunifanyia hivyo nikuache hivihivi, never ever!!! Hata kama baada ya hapo mahakama itaamuru niuawe kwa kukatwa kiungo kimoja baada ya kingine, ila siwezi kupoteza hiyo game kifala hivyo.
Kama serikali zinaamua...
Magoli yapi halali yaliyokataliwa?
Btw, ulitabiri ni making wa, na ubingwa umeishia hatua ya 32. Haijalishi kwa kuonewa au kwa halali shughuli ishaisha. Kama ni mkeka tayari unakuwa umeshachanika no matter what
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.