Recent content by Kasongo yeeyee

  1. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Mwanamke aliyedhaniwa ameuliwa na Mumewe tangu 2014 apatikana akiwa mzima wa afya baada ya miaka 12

    Kwa wahindi hata sishangai. Maisha yao halisi yanafanana na zile movie zao za akina Akshar Kumar, Shah Rukh Khan, Salman Khan nk. Kungekuwa na fursa ya kuchagua race, kati ya uhindi na uafrika ningechagua uafrika bila kusita.
  2. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Tumuombe Mungu apunguze mvua za El Nino au tumshukuru kwa maji ya kutosha kwa kilimo cha umwagiliaji

    Ni wazo zuri lakini unachanganya ulimwengu wa mwili na ulimwengu wa roho. Hayo majukumu ya kujenga miundombinu na kuvuna maji ni ya serikali, viongozi wa dini hawakusanyi kodi. Acha watu wa dini wafanye jitihada zao kwa mujibu wa imani zao, ni katika harakati za mwanadamu kujikomboa na...
  3. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Meli yenye Bendera Ya Tanzania Imeshambuliwa na Drone ya Russia

    Halafu hao wenye Open Registry hawatumii benders yao, wanatumia ya Tz! Huu muungano ni wa 'hovyo' sana
  4. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Sikia! Katika msimu huu wa mvua kubwa inayotarajiwa kunyesha, mfukoni mwako usikose kondom

    Na yale mafuta uliyatoa kwanza au yaliishia kuiremba simu?
  5. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa Simba kuweni makini wachezaji wasirubuniwe kuelekea kariakoo darby ya.10.10.2026

    Chaka la kujifichia lishapatikana
  6. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Mataifa umeishutumu rasmi Marekani kwa kutenda uhalifu wa kivita nchini Iran

    Nimelishangaa sana hili kenge linafiki, sikujua kama li ndumilakuwili linalosumbuliwa na udini! Huwa naliona la maana likipambana kutetea haki jukwaa hili la international, kumbe likirudi Tz linageuka na kuwa kinyume kabisa!
  7. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Mataifa umeishutumu rasmi Marekani kwa kutenda uhalifu wa kivita nchini Iran

    Kwahiyo ukija huku unasimama pamoja na chombo kikuu cha UN kushughulikia haki za binadamu, ila nchini kwako unasimama na wasigina haki kuwakandamiza wenye haki? Unafiki wa kiwango cha juu. Hutokuwa na amani ya moyo mpaka pale utakapoacha unafiki.
  8. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Historia na safari ya utumishi wa Generali Jacob John Mkunda

    Hapo ni ukisimama nchale, ukikaa nchale. Akija kwa TAL ni aidha awe against TAL adhalilike na kubaki salama kwenye kiti chake huku akipoteza heshima hata kidogo iliyokuwa imesalia baada ya mo29, au alinde na kuiinua zaidi heshima yake kwa ku side na TAL kwenye haki ila baada ya hapo amfuate...
  9. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Lissu, alikuwa hajui kuwa anacheza na moto akili itakaa sawa

    Well said. Nimemshangaa sana huyo jamaa yako. Kwa ujumla hajitambui na hajui anasimamia nini.
  10. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Lissu, alikuwa hajui kuwa anacheza na moto akili itakaa sawa

    Wewe jamaa kweli ni mpumb@vu sana! Huko Palestina, Iran, Lebanon na kwingineko unalilia haki kumbe hapa nyumbani una side na waminyaji wa haki! Kumbe kwako haki ni kwa ajili ya muislam tu na uovu ni kosa likifanywa na asiye muislamtu? Huwa naona watu wakikutusi humu unapokomaa na Gaza na hzo...
  11. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Historia na safari ya utumishi wa Generali Jacob John Mkunda

    Tundu Lissu ni maji marefu sana yale. Nchi hii hakuna wa kusimama naye na kumshinda kwa haki. Ndo maana jiwe aliona atumie mbinu ambayo hata shetani alikaa zake pembeni, lakini bado aliishia kufeli pia😁 Ndani ya dakika chache tu anaweza kukufanya mwenyewe ujione takataka kabla hata umma...
  12. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mchora katuni gazeti la Mwananchi, King Kinya afariki dunia

    Cases za namna hiyo ni nyingi mno. Nilizishuhudia zaidi kanda ya ziwa, hasa usukumani. Katika jamii ya wasukuma kwa % kubwa mtu hadi apelekwe hospitali hali inakuwa ni mbaya haswa! Kichwa kikiuma kidogo tu kwa mganga kwa mambo mawili: 1. Kutibiwa 2. Kupiga ramli ili kujua ni nani kafanya mchezo...
  13. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mchora katuni gazeti la Mwananchi, King Kinya afariki dunia

    Kwa akili zetu waswahili, huenda nduguze walimpeleka Moro wakiamini kafanyiziwa aidha kwa sumu au kurogwa, hivyo brake ya kwanza ikawa kwa 'mtaalam'. Baadaye hali ilivyozidi na 'mtaalam' wa kuchorwa akiwa hasaidii chochote anarukaruka tu ndipo wakakumbuka kutoka na kumkimbiza hospitalini. Ndio...
  14. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Huyu ni mama na mtoto, malezi gani haya?

    "mzaha mzaha mbuzi alizaa na mama yake" -Wahenga
  15. Kasongo yeeyee

    JamiiForums Tanzania Huko Mahakamani Kwa Lisu wengi walienda wakiwa na Heshima, wakati wakurudi walirudi wakiwa dhalili

    Wkienda ni aibu, na wakikwepa ni aibu. Hii inaitwa ukichimama nchale, uk8kaa nchale. Ila ukweli ni kuwa aibu ya kukwepa ni bora mara elfu kuliko kwenda kuvaana na TAL.
Back
Top Bottom