Kwa wahindi hata sishangai. Maisha yao halisi yanafanana na zile movie zao za akina Akshar Kumar, Shah Rukh Khan, Salman Khan nk.
Kungekuwa na fursa ya kuchagua race, kati ya uhindi na uafrika ningechagua uafrika bila kusita.
Ni wazo zuri lakini unachanganya ulimwengu wa mwili na ulimwengu wa roho.
Hayo majukumu ya kujenga miundombinu na kuvuna maji ni ya serikali, viongozi wa dini hawakusanyi kodi.
Acha watu wa dini wafanye jitihada zao kwa mujibu wa imani zao, ni katika harakati za mwanadamu kujikomboa na...
Nimelishangaa sana hili kenge linafiki, sikujua kama li ndumilakuwili linalosumbuliwa na udini!
Huwa naliona la maana likipambana kutetea haki jukwaa hili la international, kumbe likirudi Tz linageuka na kuwa kinyume kabisa!
Kwahiyo ukija huku unasimama pamoja na chombo kikuu cha UN kushughulikia haki za binadamu, ila nchini kwako unasimama na wasigina haki kuwakandamiza wenye haki?
Unafiki wa kiwango cha juu. Hutokuwa na amani ya moyo mpaka pale utakapoacha unafiki.
Hapo ni ukisimama nchale, ukikaa nchale.
Akija kwa TAL ni aidha awe against TAL adhalilike na kubaki salama kwenye kiti chake huku akipoteza heshima hata kidogo iliyokuwa imesalia baada ya mo29, au alinde na kuiinua zaidi heshima yake kwa ku side na TAL kwenye haki ila baada ya hapo amfuate...
Wewe jamaa kweli ni mpumb@vu sana! Huko Palestina, Iran, Lebanon na kwingineko unalilia haki kumbe hapa nyumbani una side na waminyaji wa haki!
Kumbe kwako haki ni kwa ajili ya muislam tu na uovu ni kosa likifanywa na asiye muislamtu?
Huwa naona watu wakikutusi humu unapokomaa na Gaza na hzo...
Tundu Lissu ni maji marefu sana yale. Nchi hii hakuna wa kusimama naye na kumshinda kwa haki. Ndo maana jiwe aliona atumie mbinu ambayo hata shetani alikaa zake pembeni, lakini bado aliishia kufeli pia😁
Ndani ya dakika chache tu anaweza kukufanya mwenyewe ujione takataka kabla hata umma...
Cases za namna hiyo ni nyingi mno.
Nilizishuhudia zaidi kanda ya ziwa, hasa usukumani. Katika jamii ya wasukuma kwa % kubwa mtu hadi apelekwe hospitali hali inakuwa ni mbaya haswa! Kichwa kikiuma kidogo tu kwa mganga kwa mambo mawili:
1. Kutibiwa
2. Kupiga ramli ili kujua ni nani kafanya mchezo...
Kwa akili zetu waswahili, huenda nduguze walimpeleka Moro wakiamini kafanyiziwa aidha kwa sumu au kurogwa, hivyo brake ya kwanza ikawa kwa 'mtaalam'.
Baadaye hali ilivyozidi na 'mtaalam' wa kuchorwa akiwa hasaidii chochote anarukaruka tu ndipo wakakumbuka kutoka na kumkimbiza hospitalini. Ndio...
Wkienda ni aibu, na wakikwepa ni aibu. Hii inaitwa ukichimama nchale, uk8kaa nchale.
Ila ukweli ni kuwa aibu ya kukwepa ni bora mara elfu kuliko kwenda kuvaana na TAL.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.