Recent content by KASIM MNKONDYA

  1. KASIM MNKONDYA

    Huyu ndiye Mwigulu Nchemba

    Binafsi nianze kumpongeza DKT Mwigulu Nchemba kwa kazi yake kama mwanasiasa na gwiji wa mbinu za ushindi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) Kwanini mwigulu Nchemba na VIjana wengine ndani ya CCM ni mmoja wa mtu wa mbinu hatari za ushindi tangu akiwa shule .kwa mwenye kumbukumbu nzuri huyu...
  2. KASIM MNKONDYA

    CCM inahaha uchaguzi serikali za mitaa Kigamboni

    Hali ya hewa mbaya kwa chama cha mapinduzi kata ya kigamboni hasa katika mtaa wa ferry hii ni baada ya kutokea mpasuko mkubwa baiana ya wagombea walioshindwa kwa kura ya maoni ndani CCM. upande wa pili wa walioshinda unaongozwa na kuratibiwa na diwani wa kata ya kigamboni cha kushangaza nguvu...
  3. KASIM MNKONDYA

    CHADEMA kufanya mkutano mkubwa Kigamboni

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kata ya Kigamboni inatarajia kufanya mkutano mkubwa wa wazi siku ya Jumapili tarehe 24.03.2013 katika viwanja vya Swala.Wanachama,wadau,wafuasi na wapenda mabadiliko katika taifa hili mnakaribishwa na walio mbali basi siku hiyo nitakuwa natoa updates...
  4. KASIM MNKONDYA

    Mtela Mwampamba afunguka ndani ya Passion FM

    Nimeamua kuvunja ukimya baada ya kuona mufa maji anaendelea kutapatapa naye ni MTELA MWAMPAMPA anaudanganya umma wa watanzania kwa kumuchafua Dr. Slaa .ninamufahamu vizuri huyu kijana aliyekosa mvuto kwao MBOZI kwani tumesoma naye akiwa META sekondary alikuwa hana jipya uongo, dhuluma...
  5. KASIM MNKONDYA

    Juliana Shonza, Mtela Mwampamba wahamia CCM...

    Haaaa leo nipo mbozi CDM wafurahia kuondoka kwaa masaliaaaaa
  6. KASIM MNKONDYA

    Chaso - IFM yazidi kuizika CCM

    siku kadhaa baada ya kumalizika mkutano mkuu wa chaso-IFM kumeongezeka wimbi la wanachama wapya kujiunga na CHADEMA kupitia tawi la chaso IFM .wanachama hao wameonekana kuwa na hasira na serikali mbovu ya ccm kwa imeshindwa kutekeleza ilani yao ya maisha bora kwa kila mtanzania. wanachaso hao...
  7. KASIM MNKONDYA

    Kwenu wanambozi kuwa makini

    Nikiwa mzaliwa wa MBOZI na mzalendo miaka kadha imepita bila kuwa na mbunge makini nikianzia enzi za marehemu HALINGA hadi leo tuna mbunge aliyekosa weledi katika masuala ya kiuchumi kazi kuunga mkono hoja za chama(ccm) tuu.Niwasihii waMBOZI hususani jimbo la mbozi mashariki tuungane pamoja na...
  8. KASIM MNKONDYA

    Chadema yazidi kuwekeza kwa wasomi wa vyuo vikuu

    Baada ya kumalizika mkutano mkuu (msimbazi center) uliowakutanisha wanachama wa CHADEMA wanafunzi wa vyuo vikuu Dar. wanaCHASO wamejipanga kukabiliana na kukimaliza pamoja kukizika chama chama cha magamba huku wakijidai kuwa ccm ni magamba ambayo hayakubaliki
  9. KASIM MNKONDYA

    Kwa wanafunzi wote wa digrii ya kwanza wasio na uwezo wa kumudu gharama za masomo yao

    vp wadau niambieni jinsi ya kupata fomu za mkopo kutoka hazina
  10. KASIM MNKONDYA

    Kwa wanafunzi wote wa digrii ya kwanza wasio na uwezo wa kumudu gharama za masomo yao

    niambieni wadau jinsi ya kupata fomu za mkopo kutoka hazina wa chuo niko mwaka wa kwanza ifm
  11. KASIM MNKONDYA

    Nimeshtuka sana baada ya kusikia hii

    helo wadau vp mi sina mkopo eti ni kweli hazina inatoa mkopo kwa wanafunzi wa ifm
Back
Top Bottom