Nimewaza sana, na kufanya upembuzi yakinifu na Kugundua kuwa Wanawake Wengi hawaolewi kwasababu tu Wametaka iwe hivyo... Kwanini nasema hivyo:-
1. Kama wangetaka kuolewa basi wasingeweza kutoa unyumba bure bila masharti
2. Wengi wanataka wanaume waliofanikiwa sio wale watakaofanikiwa nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.