Recent content by Kasiano Muyenzi

  1. Kasiano Muyenzi

    Nahisi mke wangu anajichua

    Hoja yako ni nini sasa mbona hueleweki... Mkeo anajichua (unahisi)... Nani aliyewahi kukutana na mwanamke wa namna hii... Hoja yako ni nini hasa?
  2. Kasiano Muyenzi

    Mtume Paulo hakuingia katika mahusiano kwa maisha yake yote.

    Hao wasemao kwamba alikuwa na mke ni wapiga porojo tu kama Ali Kamwe
  3. Kasiano Muyenzi

    Wenzangu Mabinti Sayuni: Mnawezaje Kuishi Single bila Kuanguka Dhambini?

    Kwa nini usiweke picha hapa hapa tukuone ulivyo binti sayuni?
  4. Kasiano Muyenzi

    Mtume Paulo hakuingia katika mahusiano kwa maisha yake yote.

    Kuwa mzushi ni kuwa katika kundi, lakini pia kutokuwa mzushi ni kuwa katika kundi pia.... Haya niambie wewe upo katika kundi gani?
  5. Kasiano Muyenzi

    Peter Tabichi ni mfano wa kuigwa

    Mbona Dr Slaa ameoa au kuna matabaka ya maparoko?
Back
Top Bottom