VIPI KAMA ASKOFU NDIYE MHUSIKA MKUU KAWEKA MENEJA AMBAYE NI CHAWA WAKE ANAKULA KUPITIA KWA HUYO MENEJA?
BADO UNAMSHAURI ASKOFU AMTOE? ILI ASKOFU AKALE WAPI?
UNAFIKILI ASKOFU JILI HALIJU? WEWE LIMEKUFIKIAJE HALAFU YEYE LISIMFIKIE?
KILA MTU ALE OFISINI KWAKE PAEE
Vipi kama ni mradi wa ASKOFU...
Huyu jamaa ukaaji wake Haina heshima.
Lakini mavazi yake ya jinzi ni vazi la kihuni ndiyo maana mtumishi wa imma huruhusiwi kuvaa na kwenda nayo kazini .
Soksi pia hajavaa.
Picha hizi hazikupaswa kutolewa hadharani. Kitengo Cha habari mmetukwaza watanzania .
Polis mlimpa silaha Kwa kigezo kipi?
Ana Mali kiasi gani Hadi amiliki silaha?
Anatishio lipi la kiusalama Hadi amiliki silaha?
Lini amemilikishwa hiyo silaha?
Taratibu zote za kuomba silaha alizifuata?
Kwenye uchunguzi wenu ,Taarifa ya kwanza tunayoitaka kuisikia uhalali was umiliki was...
We ni mpumbavu haswaa.
watumishi wa serikali wakistaafu wasirudi kujifanya washauri Kwa vongozi waliopo serikalini ,
Sasa hapo umesikia kataja uislamu ?
Nakuuliza wewe umesikia dini yoyote ikitajwa hapo?
Kweli we punguani!
Pascal Mayala wa enzi ya Kiti moto ulinikosha sana enzi zile maswali magumu yenye lojiki.
Hebu TAFAKARI urudi enzi zako tuanzishe kitu moto.
Uungane na chief Odemba na yule
Kijana mwingine nimemsahau jina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.