Recent content by Kasheshe Mpauko

  1. Kasheshe Mpauko

    Simulizi: Mimi na Boss Wangu

    Tunapitia mengi sana kwenye familia na hata maisha pia kama wanaume. Ninajifunza hakuna lisilokosa mwisho. Hakuna kukata tamaa, kujiamini na kumtegemea Mwenyezi Mungu ndio ngao kuu.
  2. Kasheshe Mpauko

    Simulizi: Mimi na Boss Wangu

    Sure
  3. Kasheshe Mpauko

    DOKEZO Utaratibu wa kutoa takrima TANESCO

    Ndugu afisa, Nakushukuru sana. Mwenyezi Mungu akubariki uwatumikie watanzania kwa uaminifu wa kimalaika na azidi kukunyanyua kwa kila la kheri unalolihitajia na likawe na baraka kwako. Amin
  4. Kasheshe Mpauko

    DOKEZO Utaratibu wa kutoa takrima TANESCO

    Kuwapooza sio lazima mkuu. Na kutokuwapooza isiwe sababu ya kukunyima haki yako ya msingi. Ukitoa unatoa kwa moyo na bila kuombwa apo tutasema umepoozwa unakuta mtu anakwambia laiv kabisa nahitaji 123 afu niite apo nimewapooza?
  5. Kasheshe Mpauko

    DOKEZO Utaratibu wa kutoa takrima TANESCO

    Aah we! Sina ushamba huo
  6. Kasheshe Mpauko

    DOKEZO Utaratibu wa kutoa takrima TANESCO

    Yaan wakiendelea hivi ndicho nitakachokifanya. Siez lipia ela nyingi hivo af nije nimpe mtu ela bure. Nitawakamatisha za moto ziwatokee kwenye matundu yote ya mwili. Huruma huzaa zambi
  7. Kasheshe Mpauko

    Nimetapeliwa mwenzenu!

    Kigogo Busisi anapitia ukerewe
  8. Kasheshe Mpauko

    DOKEZO Utaratibu wa kutoa takrima TANESCO

    TANESCO Hivi kama nimelipa laki 5 au 7 na ushee bado afisa anahitaji nimpe pesa ili aje kuniunganisha na huduma ninaweza tumia mbinu gani kuipata haki hii ya msingi? Kiukweli hili linachosha sana. Kuna muda unawaza umtege mtu kwa kumpa hela ya moto lakini unamuonea huruma atapoteza kibarua...
  9. Kasheshe Mpauko

    Tanzania yasitisha vibali vya usafirishaji wa mahindi nje ya nchi

    Yaan huyo anaongea ushuzi. Anajua hata kulima huyu mtu. Anajua taabu ya kulima huyu. Mkulima ana majanga makubwa yanayogawanyika seem tatu. Haki ya hewa, uzalishaji na masoko. Apo kwenye masoko kuna changamoto sana kuliko seem ingine yaan. Asa wewe jipendekeze kama unajua hata tope la mbuga likoje
  10. Kasheshe Mpauko

    Tanzania yasitisha vibali vya usafirishaji wa mahindi nje ya nchi

    Umenikumbusha yaan. China wana coops nzuri sana mpaka za maziwa. Kimsingi isiangalie wacheche watakaonunua unga bei juu. Maisha ya mkulima wa chini yajaliwe kwa kumuwezesha kupata competitive price popote pale
  11. Kasheshe Mpauko

    Tanzania yasitisha vibali vya usafirishaji wa mahindi nje ya nchi

    Asa wachwe waendelee kupata faida kufidishia hasara za miaka ilopita. Kwana si walisema tuko soko huria
  12. Kasheshe Mpauko

    Tanzania yasitisha vibali vya usafirishaji wa mahindi nje ya nchi

    Kwan TISS ndii kazi yao? Wizara inafanya kazi gani?
  13. Kasheshe Mpauko

    Tanzania yasitisha vibali vya usafirishaji wa mahindi nje ya nchi

    Kwa hio na mimi nipatepo asara ya mahindi angu ama. Mi nitawauzia wakenya kwa bei naetaka. Asa mkianza mambo ya papatu papatu achen yakae ndani. Hayaozi
  14. Kasheshe Mpauko

    Tanzania yasitisha vibali vya usafirishaji wa mahindi nje ya nchi

    Vibali gani tena jamani, si mlisema tuweke mipaka kwenye mastoo majumbani ama
Back
Top Bottom