Recent content by kashato

  1. K

    Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

    aweke wazi iyo mikataba kama anasadifu sera yake ya utawala bora uone madudu aliokubaliana nayo mpaka kupata icho anachosaini utahama leo icho chama
  2. K

    Maalim Seif Hamad: Katiba iliyo pendekezwa itawamaliza Wazanzibar

    Bakhresa anamilki majumba yakifahari bara na ni Mzanzibari atakua Mzanzibar mchaga?
  3. K

    Aibu: Shyrose Bhanji azua tafrani ziara ya EALA

    wekeni picha stori za ulkutunga izoo
  4. K

    Aibu: Shyrose Bhanji azua tafrani ziara ya EALA

    fitina za siasa ku post fb kuwa anawachukia wanaobebwa na baba zao alafu ao wazee wanasema wanachukia rushwa.
  5. K

    Wakatoliki watakiwa kuisoma Katiba pendekezwa

    simama kwa nafsi yako au io id inamilkiwa na wakatoliki wote Tanzania
  6. K

    Rais Kikwete atunukiwa u-profesa na Rais wa China

    kwa iyo amemzidi Obama kwa umaarufu?au ndo Mahaba niuwe? mbona Obama ajawahi kupewa ata uo U Dr. si ubezii ila we should ask ourself y it is too cheap? mfano Kenya imekuwa nchi ya kipato cha kati na sasa inaitwa industrial hub of east africa ki elim wako too far bt Kenyatta not saluted on the...
  7. K

    Mangula Amuonya Mizengo Pinda, Agawa Pesa za ESCROW kama Njugu

    ni bora kukaa kimya kuliko kushabikia TETESI
  8. K

    Mangula Amuonya Mizengo Pinda, Agawa Pesa za ESCROW kama Njugu

    Mkuu unaweza kutudhihirishia utajiri wake au uo ufisadi wake,kama sivyo bac tuamin na ww ni msomi uchwara unaemin kwenye "TETESI"badala ya proved fact.
  9. K

    Mangula Amuonya Mizengo Pinda, Agawa Pesa za ESCROW kama Njugu

    unazijua sifa za kuwa Raisi utwambie na ss mkuu au ndo "wivu wa kike"
  10. K

    Ushauri kuhusu hili gari unahitajika

    jiandikishen kwenye daftari la kudum la kupiga kula
  11. K

    Ukishangaa ya Jaji Warioba utajionea ya Kinana!!

    mkuu Mjepo umetumia lugha ya kuudhi mnoo.
  12. K

    Tatizo la Ajira (zenye tija) nchini: Ripoti ya Benki ya Dunia na Mikakati ya Serikali ya Tanzania

    Wajadili na uwiano kati ya bosi na mtumishi wa chini wala isizidi 1/10 yani bosi akilipwa 2m basi mshahara wa mtumishi wa chin usipungue 200k
Back
Top Bottom