Hatuwezi kutoboa kwa kupata Mali za duniani halafu tutazamie maisha mazuri.Lazima tutafute uso wa Mungu mwenye haki halafu hayo mengine yatatutafuta yenyewe
Hatutaki Rais mwenye sifa bali moyo wa kupenda watu na nchi yake.Nyerere aliwapenda watu na nchi yake na laiti angekuwa Rais ktk nchi ya kidemokrasia kama Sasa,wananchi tungefaidi uchumi wetu
Wache wazirudishe kwa kuwa Ccm sio mama wao.Kama angekuwa mamao,angewalinda chakula Cha watoto kisiharibiwe na tembo.Tundu mnamwona mwehu lakini ni heri anaonyesha concern juu ya chakula Cha watoto na uhai wao kuliko nyinyi.
Upole na ungwana wa watanzania ndo unawafanya serekali ya Ccm kupuuza mahitaji ya haraka ya katiba inayosimamia haki kwa wote.Hata Elimu ya watu wazima haikuwa inachukua mwaka mmoja kujua kusoma na kwandika
Kwani Hilo bwawa la Nyerere halitategemea mvua?Tanesco Haina ubongo wa kulitoa Taifa kutoka aibu ya mgao wa umeme ingawa Mungu alitupa fursa za upepo na makaa ya mawe.
Hivi kinachomyima usingizi kiongozi ni matusi au madudu yaliyofanywa kwa nchi? Kama hakuyafanya kwa nini yasijiwe kwa lugha Kali kama ya wapinzani? Kwa nini imechukua miezi mitatu bila majibu?
Yohana akamwambia mfalme herode "si vizuri kulala na mke wa ndugu yako" je lugha gani ya heshima angetumia kwa mfalme? Kama maneno wanyotamka viongozi wa siasa ni ya kweli,mnastahili kuwaomba watanzania na sio kuwakemea wanaoanika maovu
Kama kuna Jimbo ambalo halijatendewa haki kwa nchi nzima ni Jimbo hili la Busokelo kutokana mchango wake kiuchumi.kwa wasilolijua Busokelo ilitoa mchango mkubwa kwa Zao la kahawa tangu uhuru.Baada ya Zao kupotea kwa magonjwa mazao mengine kama chai,parachichi,gas,mbao za stima,viazi, vyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.