Recent content by KASHABALE

  1. K

    Puuzeni taarifa ya Nipashe, hakuna uchotaji fedha BoT

    Kwanini Mwigulu Nchemba usijiuzulu tu hiyo nafasi ya uwaziri wa Fedha kwa maslahi mapana ya Taifa.Maana wewe si chochote ni Kama kivuruge Fulani,sioni cha maana unachofanya pale tofauti na upigaji wa Kodi za Watanzania Maskini Wala mlo mmoja.Huna unachojua kuhusu hiyo Wizara tofauti na kubuni...
  2. K

    RC Chalamila: Wafanyabiashara Wadogo wa Simu2000 wafahamu kuwa eneo walilopo ni la Serikali, lazima liendelezwe

    Wafanyabiashara wa Tanzania ifike mahala mjitambue,hivi huyu RC ndiyo wa kuwatishia hivyo?Mtu mnayemlisha,kumvisha,kumuozesha,kumsomesha na kila kitu anawategemea nyinyi Kodi yenu ndiyo maisha yake halafu anawadhalilisha kiasi haki ya Mama angetoka na ngeo leo huyu jama hajielewi kwa kweli.
  3. K

    Ufafanuzi kuhusu kikokotoo cha mafao ya kustaafu

    Kwa kikokotoo hiki ikitokea mnufaika anakufa ndani ya Mwaka mmoja inakuwaje kwa wategemezi wake?
  4. K

    SoC04 Rais Samia inafaa zaidi asimamie mapato ya ndani ya Nchi

    Huu ni kutokana na ukweli kwamba,hata hizo Nchi ambazo zimeendelea ni kwasababu tu ya usimamizi bora wa mapato ya ndani ya Nchi. Tunayo mifano mingi ya kuweza tumia kama rejea.Kwa mfano Nchi ya India ilikuwa chini ya koloni la Uingereza mnamo mwaka wa 1947, India ilipata uhuru wake wa bendera...
  5. K

    SoC04 Tanzania tuitakayo ijumuishe mambo haya

    Maeneo mengi yenye riba kwa taifa,haswa katika kukuza uchumi wa Nchi yetu.
  6. K

    SoC04 Tanzania tuitakayo ijumuishe mambo haya

    Naona imejitahidi kukusanya maeneo mengi yenye riba kwa taifa.
  7. K

    Rais Samia: Wananitukana wakitaka niwajibu, sasa siwajibu..

    Kumbuka huyu Rais ni wawote,siyo wa kwako pekee.Tuvumiliane Mwashambwa.
  8. K

    Rais Samia: Wananitukana wakitaka niwajibu, sasa siwajibu..

    Sasa wewe uliyesema niache ujinga wangu hili ndilo tusi Ndugu yangu.Lakini nakuomba Kaka usiwe mpofu wa fikra kwa kufungwa upande mmoja tu.Kwaupande wako Saikolojia yako inafaa ufanyiwe ushauri nasaha,umeishavurugwa.
  9. K

    Rais Samia: Wananitukana wakitaka niwajibu, sasa siwajibu..

    Wananchi wako wanapokuwa kuulizia juwa wanakupenda.Mfano ukiwa Nyumbani kwako Usipoonekana kwa mda watoto wako lazima watauliza Mama yuko wapi? Mbona hatumuoni
  10. K

    Rais Samia: Wananitukana wakitaka niwajibu, sasa siwajibu..

    Inabidi Viongozi wetu watofautishe tuhuma/kashfa na matusi,kwani wazalendo wanapokuwa muuluzia Rais wa Nchi yuko wapi?Mbona haonekani ndani ya mipaka ya Nchi?Wana maana nzuri tu.Hawamtukani bali wanataka wajue kiongozi wao mkuu wa Nchi.
  11. K

    Mbowe kung'ang'ania uenyekiti kutasababisha makada wengi wa chama kuondoka

    Hapo walipo wanadai katiba ya Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania ifumuliwe/itungwe upya.Wakati katiba yao tu kuifanyia marekebisho imeisha washinda.Sasa kama Mwenyekiti anakaa zaidi ya Miongo miwili Madarakani huyo Siyo Dikteta? Mimi na kuona Mbowe ni dikteta ndani ya CHADEMA.Ama Mbowe alizaliwa...
  12. K

    Mbowe kung'ang'ania uenyekiti kutasababisha makada wengi wa chama kuondoka

    Hapo walipo wanadai katiba ya Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania ifumuliwe/itungwe upya.Wakati katiba yao tu kuifanyia marekebisho imeisha washinda.Sasa kama Mwenyekiti anakaa zaidi ya Miongo miwili Madarakani huyo Siyo Dikteta? Mimi na kuona Mbowe ni dikteta ndani ya CHADEMA.Ama Mbowe alizaliwa...
  13. K

    MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

    Hapo ndipo utajua kama masikini ana haki au hana haki, kitendo cha RPC kutokutoa ushirikiano wa kutosha pamoja na msaidizi wake.Hapa sheria imeanza kupinda tayari,haki kwa wanyonge itakuwa ni ngumu sana kuipata haswa unapo pamba na tabaka tawala.Si ajabu chombo kilichoripotiwa tukio hili pamoja...
  14. K

    TANZIA UPDATE: Makamu wa Rais wa Malawi afariki katika ajali ya Ndege

    Poleni wa Malawi kwa kupoteza wapedwa wenu Katika ajali ya anga.
Back
Top Bottom