Mtoa Mada umekuwa mmbeya na mchonganishi. Mwenyekiti alishaeleza yote bila kumung'unya maneno na wewe upo kwenye kundi la wanaohitaji maombi. Tafadhari, mumuache DR Slaa jembe letu afanye kazi zake za kuyaondoa maccm. Na hamtoki safari hii
Ni haki ya Mbowe kufanya hivyo kwani anajua vizuri chama kilikotoka, kilikopitia na pia zitto alidiroki kumtukana mbowe matusi ya nguoni na utu wake wakati Mbowe ndie aliyemfikisha zitto alipo. Nami namuunga mkono kumkazia zitto kama VP lowasa akaungane na zitto kwenye chama cha Asasi ya Chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.