Wadaua natumaini mko salama...keshokutwa ntakua nasafari ya zenji ya kiutalii..hivyo wadau wanaojua masuala ya utalii ndani ya zenji ...naombeni tips kuhus zenji....ntakua zenji kwa siku 4..so naombeni tips n advice,...procedures pia za kwenda kuwaona dolphins,activities za kufanya...
Kuhus marcelo kupanda.. upande uo uo marcelo anaopanda ndo unayule dogo aliekimbizwa na rashford?na uo uo ndo una salah....huu upande huu utakua bampa tu bampa..ila mi ngekua zidane namkabizi casemiro sala apge man to man loki kama ashly yung...salah asiposhine game inaisha mapema
Kuna tofauti kubwa kati ya nachokiongelea na iki...mi naongelea odds mispricing n takin advantage of the situation....ww unaongelea accumulator bettings..
Juzi jumamosi nliangalia kikosi cha yanga kilichoenda algeria...nkaona ni kikos dhaifu sana...nkaskiza na news (sports xtra)...nkasikza na maneno ya kocha wa yanga akisema wanaenda kutafta droo kwa kujilinda...nkafatilia form ya algiers nkaona algiers ni mtam sana akiwa hom so nkatia 500k na...
..Barca inaitaj itumie ile ela ya Neymar imlete coutihno,dembele,seri ikiwezekana na ...Ila lawama zangu ni kwa bodi ya Barca ni ya kipumbav sana...Uyu bartomeu fala bora arud Laporte tu..Usajili waliofanya ni wa kiboya sana
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.