Recent content by kasanga70

  1. kasanga70

    Morali Imekata Kabisa

    Duu
  2. kasanga70

    Morali Imekata Kabisa

    Daa inawezekana things are very tiresome
  3. kasanga70

    Morali Imekata Kabisa

    Wasalaam Takribani miaka 25 iliyopita nilikuwa natamani sana kufahamu mama Tanzania amebeba matarajio yangu ya kimaisha kwa kiasi Gani. Nilifatilia sana siasa za nchi yangu, nilijihusisha na siasa, nilifatilia bunge jeshi letu,watu maarufu viongozi wa siasa n.k nilitamani wawe role model...
  4. kasanga70

    Nchi inaliwa jamani wanavuna bila huruma hii hapana kuweni na kiasi

    Niliongea hapa juzi kuna watu wametukana sana kwa kisingizio kuwa wanaoiba wanawekeza hapahapa Tanzania....nilichoka sana hizi ndio akili za watanzania wanaoiba.
  5. kasanga70

    Wanaokwapua na kuficha pesa ya umma 2025 hamtakuwepo

    Umemaliza.....! Baada na kabla ya 2025
  6. kasanga70

    Wanaokwapua na kuficha pesa ya umma 2025 hamtakuwepo

    Kwa kweli siku zote huwa ni hivo mwenye pesa huwa anaona amefika mwisho
  7. kasanga70

    Wanaokwapua na kuficha pesa ya umma 2025 hamtakuwepo

    Sawa bosi ngoja niendelee kupambana na hali yangu
  8. kasanga70

    Wanaokwapua na kuficha pesa ya umma 2025 hamtakuwepo

    Nenda shule ndg....at least uelewe ujumbe.. i dont suggest.
  9. kasanga70

    Wanaokwapua na kuficha pesa ya umma 2025 hamtakuwepo

    Katiba mpya haijawahi kumzuia shetani kufanya kazi. Think big.
  10. kasanga70

    Wanaokwapua na kuficha pesa ya umma 2025 hamtakuwepo

    I know my office rafiki yaani wewe unaona kuingia kwenye mfumo ndio maisha siooo....! Soo sad.
  11. kasanga70

    Wanaokwapua na kuficha pesa ya umma 2025 hamtakuwepo

    Taifa letu ni shamba la bibi kwa baadhi ya familia na koo fulani. Katika kipindi hichi kuna koo, familia na baadhi ya watu fulani utajiri wao utaongezeka mara dufu yaani. Napenda kuwakumbusha tu taifa hili lina watu maskini wengi sana tena wanateseka mno wakati mwingine kwa sababu ya mifumo...
  12. kasanga70

    Shida ya Yanga imeanzia hapa

    Rudi kwenye mada usikurupuke
  13. kasanga70

    Shida ya Yanga imeanzia hapa

    Nadhani umenipata mkuu
  14. kasanga70

    Shida ya Yanga imeanzia hapa

    Naomba nieleweke, naongea kikubwa hapa, wale wenye uzito watanielewa. Na kwa hili sirejei mechi yenu ya kesho, ombeni Mungu anaweza kuwasaidia. "Mnapojitafutia mafanikio msizibe pumzi ya jirani yako, yaani afe, asifanikiwe, akwame", uchawi huu huwa unafeli sana na matokeo huwa yanamrudia...
Back
Top Bottom