Recent content by kasanga70

  1. kasanga70

    Wengi wanahoji wake wa Spika Job Ndugai, na kuona mmoja amesahaulika

    Sihukumu but viongozi wengi pepo yao ni hapa duniani ni ngumu sana kwenda mbinguni kupumzika....kwahiyo wacha wale wamalize kama inawezekana....wanayoyafanya ni magumu mno kutamkika....!
  2. kasanga70

    Niliwambia hili siku si nyingi "Usomi, Mapenzi kwa Chama, Uadilifu na Michango yako haitakupa ubunge, CCM ina wenyewe" nafikiri tumeelewana

    Wasalaam Poleni wazee mliotia nia hivi karibuni... Nafikiri mnakumbuka niliwatahadharisha ila uzoefu mmeupata. CCM ina wenyewe. Tukazane kufanya kazi tutunze familia zetu mambo ya uongozi inji hii tusubiri siku nyingine labda Hali ibadilike..... Usiku mwema
  3. kasanga70

    Usomi, Mapenzi kwa Chama, Uadilifu na Michango yako haitakupa ubunge, CCM ina wenyewe

    Nimetoa uzoefu wangu tuu kugombea ni ruksa kama ilivo kwenye maamuzi yako mengine
  4. kasanga70

    Usomi, Mapenzi kwa Chama, Uadilifu na Michango yako haitakupa ubunge, CCM ina wenyewe

    Niwashauri vijana wenzangu. Kama hela yako ni ungaungamwana tafadhali sana nenda kaongeze mtaji kwenye biashara yako, kawape maskini au kampe mamaako atakuombea na kukukumbuka daima. Mimi nimeshiriki uchaguzi ngazi za mkoa, jimbo na wilaya nimwanachama hai wa ccm na sina mpango wa kuhama,maana...
  5. kasanga70

    Msaada Kisheria; Nimeuziwa shamba na ndugu watatu wa kiume, ndugu wa kike wanadai hawakushirikishwa

    Mkiambiwa muwe mnatoa sadaka makanisani, wakali kama Nini...mara wachungaji wezi nk. Kwenye maisha unaweza kukwepa ukweli Kwa kufata mkumbo lkn utalazimika kutoa tuu hata bila kupenda...hiyo ni sadaka ndugu na usipokuwa makini zitaendelea kutoka kupitia kesi Sasa..mfumo wa Dunia ni WA kutoa na...
  6. kasanga70

    Kwa masikitiko makubwa huwa najiuliza hivi barabara ya Dodoma to Iringa ilijengwa kwa pesa za nani, au ilijengwa bure?

    Nadhani ikipita miaka 3 bila kufanyika kitu ni afadhali turudi kwenye vumbi tu ni hatari sana
  7. kasanga70

    Kwa masikitiko makubwa huwa najiuliza hivi barabara ya Dodoma to Iringa ilijengwa kwa pesa za nani, au ilijengwa bure?

    Kwa masikitiko makubwa huwa najiuliza hivi barabara ya Dodoma to Iringa ilijengwa kwa pesa za nani, ilijengwa bure? Nani alikuwa mkandarasi, nani alitoa hela, nani alikagua, nani alikabidhiwa nk. Nafikiri kwa sasa moja ya barabara muhimu sana na za kimkakati kwa uchumi wa nchi ni hii barabara...
  8. kasanga70

    Tetesi: Simba Sports Club kuhamia ligi ya Zanzibar mwakani: Move imeanza

    Za ndani saana, utaribu wa mageuzi makubwa ya kimpira utaanza baada ya dirisha dogo January. Club kubwa barani afrika inameanza hatua mahsusi za kuweka base kubwa ya kimpira visiwani Zanzibar. Kandarasi hii na maamuzi haya yanakuja baada ya kubaini kuwa kuna wahuni wanaharibu mpira bara na...
  9. kasanga70

    DOKEZO Ofisi ya Rais Utumishi, TAMISEMI na Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga okoeni mtumishi huyu

    Kizazi hiki cha karne ya 21 lazima tusolve problems guys sio kutengeneza matatizo. Mbona hivi lkn.
  10. kasanga70

    DOKEZO Ofisi ya Rais Utumishi, TAMISEMI na Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga okoeni mtumishi huyu

    Sishauri Sana akimbilie HQ Dodoma huko anaweza kuishia tu kwa masekretari mapokezi hata ktb Mkuu akamsikia kwenye radio tu. Nashauri yafuatayo: mtafuteni Afisa utumishi mbobezi wa miaka ya kutosha kazini mwenye roho nzuri(wapo japo wachache). Muelezeeni kila kitu halafu pamoja na kushauri cha...
  11. kasanga70

    Wanaokwapua na kuficha pesa ya umma 2025 hamtakuwepo

    Zaburi 49. loading quickly
  12. kasanga70

    Si sahihi kuwaita watumishi wezi kwani wanaotoa sadaka hutoa kwa hiari yao bila kulazimishwa

    siku maalum nimeacha kusoma gazeti la mwananchi na magazeti mwenza ni ile tarehe 10 nilipoona takataka zinazodeal na wachungaji na MIT u me.......yaani ni hivi ukiona serikali imenyamaza kimya juu ya hili halafu vitaasisi njaa vinatafuta content kama hizo ili Ku survive kwenye soko ni upuuzi...
  13. kasanga70

    Tukiacha na unafiki Paul Kagame ni mzalendo wa nchi yake. Tanzania anayeingia madarakani anawaza kujinufaisha

    ya hapa kwetu Tanzania ndio hata hayaongeleki kbs ni kuyaacha tu Mungu mwenyewe aingilie kati. Its beyond reproach.....what is going on God have mercy
  14. kasanga70

    Tukiacha na unafiki Paul Kagame ni mzalendo wa nchi yake. Tanzania anayeingia madarakani anawaza kujinufaisha

    sijui hata uchaguzi Rwanda wanafanya wa nini. Kagame is supposed to be a lifetime president. Kinachonipa hofu kubwa Rwanda who's next after him. Anaweza tokea mtu wa ajabu wakarudi kulekule kuharibu kila kilichojengeka. Better Kagame amtengeneze mwingine mwenye mlengo Kama wake Rwanda will be...
Back
Top Bottom