Recent content by kasabuku

  1. kasabuku

    JamiiForums Tanzania The Law School of Tanzania - Maswali na majibu

    Leta mchuzi utafasiliwe kama unahitaji Ku reply petition
  2. kasabuku

    JamiiForums Tanzania Mume ameficha Cheti cha ndoa nifanyeje?

    Cheti cha ndoa sio lazima miaka 4 io ndoa ni valid kumbukumbu zipo bomani ,kama ndoa imevunjika broken irreparable km unahitaji kumpa talaka anzia balaza LA usuluhishi conciliatory board wakishindwa kusuluhisha watatoa certificate of non reconciliation kwenda mahakamani kisha utaomba io talaka...
  3. kasabuku

    JamiiForums Tanzania Sheria za kufuata unapotaka kumuacha Mke kwa talaka

    Kwa maana ya ndoa ni muunganiko wa hiari baina ya watu wawili MKE na Mme , kuna ndoa aina 2 polygamous & monogamous naenda kwenye mada linapotokea suala la migogolo kwenye ndoa kuna mahakama au board inayotambuliwa na sheria inaitwa reconciliatory board , Hii board ni ya usuluhishi...
  4. kasabuku

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwanasheria atakae nisikiliza,bila malipo Mbeya

    Pole mkuu utasaidiwa lakini kuna gharama kiasi hapo sio bure kabisa gharama za form ambazo utazipeleka kwa manager wa kampuni, kwa hiyo taasis ya TAHURA Tanzania human right foundation inatoa misaada mbari mbari km hiyo yako. na swala lako ni la CMA na sio high court njoo inbox no ni hii...
  5. kasabuku

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje kesi ya kubaka Mtoto mtu afungwe miaka 4???

    Tatizo mnanza siasa hum jf kwani sheria si IPO?? weka clause za kisheria hilo gazeti liko wapi hapa na as tulione ili tuwe na ushahidi, eti Mara ushahidi ulikuwa wikness , halafu MTU atiwe hatiani kwa wikness acheni swaga kwenye sheria ...orbiter dictum#
  6. kasabuku

    JamiiForums Tanzania Majibu ya kisheria: Je, ni kweli mwanaume akiishi na mwanamke kwa kipindi kirefu wanakuwa wameoana?

    Apo sheria ya ndoa sec 160 imetaja miaka 2 mkiishi kama MKE na Mme na jamii mnayo ishi nayo itambue nyie ni wanandoa Na kuhusu kumtelekeza kuna aina mbili actual dissertion & constrictive ambapo mwanandoa anatelekezwa bila yy kujijua km ametelekezwa au mwanandoa kukatazwa /kutishiwa...
  7. kasabuku

    JamiiForums Tanzania Wazo la wiki: Malalamiko ya upinzani ni ishara ya uasi au uhaini

    Serikali iliyopo madarakani ni halari kwani ilipatikana kihalari tuweni makini na watu wachache wanao taka kuvuluga amani ya nchi hii Nchi hii ina Mali tele ambazo kipindi ch a mkoloni zilikuwepo ikiwemo madini mbalimbali ambayo ni ya thamani kubwa kwa io kuvuluga amani yetu wao kule...
  8. kasabuku

    JamiiForums Tanzania Vigezo vya kujiunga na Vyuo vya Kati (Colleges) kwa ngazi za Cheti na Diploma

    Dip ni miaka miwili certificate ndo one year
  9. kasabuku

    JamiiForums Tanzania Vigezo vya kujiunga na Vyuo vya Kati (Colleges) kwa ngazi za Cheti na Diploma

    Usilo lijua bwana, Ubuntu inaongoza kanda ya ziwa kwa kufundisha Nina ushahidi, km hujui unanyamaza usiseme vyuo vya kijinga usifuate ukubwa wa chuo au mob ya watu angaria kile unacho vuna .no ya sim hii hapa 0768 853 050. mwenye nia ya kusoma sheria, na lazima MTU ufanye utafiti make ni...
  10. kasabuku

    JamiiForums Tanzania Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

    Presumption of marriage sec 160 of law of marriage act sheria imesema ni miaka 2 inakuwa ndoa na jamii inayo wazunguka itambue kuwa mnaishi km mke& Mme na hio ndoa haina taraka Ila INA mgao WA Mali na maintenance of children and custody km ikivunjika (broken down irreparably) obiter dictum#
  11. kasabuku

    JamiiForums Tanzania Naombeni Tanzania Case Reports

    Kasome kes ya bi HAWA Mohammed vs ally seifu TLR 1983 AU download
  12. kasabuku

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria tafadhari.

    Nenda kachukue summons ili mkutane mahakamani km hakuna utekelezaji mahakama iko huru haingiliwi maamuzi yake. ila mahakama inaigiliana yenyewe kwa mahakama nyingine kuna procedure ya kufanya kam kuna ujanja unafanyika hapo mahakamani na utafanikiwa ,( quid pro quo)*
  13. kasabuku

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria tafadhari.

    Mkuu kesi yako ilisha hukumiwa inaitwa (probation sentence) ambapo adhabu ni kifungo cha nje kwa matazamio asipo tekereza hukum io analudishwa tena mahakani suara LA kutofika MAHAKAMAN si lako iachie mahakama kimsingi inatakaiwa udai alipe hela yako akishindwa unaomba kukaza hukum na pesa...
  14. kasabuku

    JamiiForums Tanzania Vigezo vya kujiunga na Vyuo vya Kati (Colleges) kwa ngazi za Cheti na Diploma

    Na uwe umemaliza kidato cha nne au six ufaulu kuanzia angalau D 4 kuendelea, chuo kipo MWANZA ni chuo bora sana kwa kanda ya ziwa kinaongoza .
Back
Top Bottom