Kupita bila kupingwa kwa wakati ule na sasa ni vitu viwili tofauti! Amir Jamal wa a well read person na alii-manage vizuri sana Wizara ya Fedha, tofauti sana na hawa akina chemba wadesaji!
NHIF mtatutoa roho huku tukitembea!
Kwa nini hamuwadai madeni waliyokopa vigogo woteee, tena wenye pesa nyingi zitokanazo na jasho na kodi zetu! Halafu eti wakiugua wanaenda kutibiwa nje ambapo napo of course wanatumia pesa za jasho na kodi zetu! Uhuni wa hali ya juu!
Ningekuwa mimi, ningekazana kutafuta vya kwangu! Mwache mzee na mali yake, ambayo naamini hakuipata kutoka kwa baba yake, bali ni nguvu zake mwenyewe!
Sielewi kwa nini baba kamtenga mama, au wameachana? Labda msaidieni mama kupata sehemu yake hapo, lakini sadaka aliyotoa baba, whether ni vizuri...
Unatengeneza tatizo, afu unalitafutia suluhisho ambayo hata haitasaidia!
Tozo ya 5% haitazuia saratani, kansa, kisukari na magonjwa mengi yanayosababishwa na tumbaku!
Kwa nini visifunguliwe viwanda vyenye tija, badala ya hivi vyenye madhara?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.