Recent content by karumbeta

  1. K

    CHADEMA na CUF mkishidwa kutegua mitego hii basi ndo mwisho wenu 2020

    Sasa wao wanasimamia masilahi yapi? R.I.P Deo Filikunjombe
  2. K

    CHADEMA na CUF mkishidwa kutegua mitego hii basi ndo mwisho wenu 2020

    Hilo pia lilikuwa tatizo upande wa ukawa, lakini kwa sasa, tunao wabunge wa wananchi, kelele ziwafikie wabunge wa ccm waache uvyama tunataka katiba ya Warioba.
  3. K

    CHADEMA na CUF mkishidwa kutegua mitego hii basi ndo mwisho wenu 2020

    Swala la katiba mpya ile ya Warioba ukawa kwa idadi yao hawawezi kuileta katiba mpya, tuliwambia tupeni wabunge wakutosha mkarudisha mizigo ileile, hiyo katiba mpya itakujaje wakati ccm wako ki vyao? Jana umeona kwenye kumchagua naibu spika uliwaona wabunge wa ccm wanampigia kura mpinzani...
  4. K

    CHADEMA na CUF mkishidwa kutegua mitego hii basi ndo mwisho wenu 2020

    Wambie na ccm huu ndo mwisho wao endapo hawatarudisha katiba ya Warioba. Ulianza vizuri lakini mwisho ukaonesha ukakasi!
  5. K

    Yaliyojiri Jangwani, Dar: Mkutano wa kuhitimisha Kampeni za mgombea Urais wa CCM, Dr. Magufuli

    Mungu ataifunua dunia na madhambi yake yote October 25, twendeni tukaandike historia mpya ya nchi yetu uonevu na dhuruma vitakwisha kwenye sanduku la kura.
  6. K

    Ng'ombe dume la asili anauzwa kiloleli Mwanza

    Amani iwe kwenu! Kwa wale wanaosubiri kuapishwa baada ya uchaguzi October 25 nawaalika mje hapa kwangu nauza ng'ombe wangu kwa bei zuri, kwa mawasiliano zaidi njoo kwenye room yangu nitakupa mawasiliano.
  7. K

    CCM wamejiandaa kukubali matokeo?

    Atakaye shinda kwa sanduku la kura tutamuapisha.
  8. K

    Mch. Gwajima amgomea Makonda

    Hongera!
  9. K

    Mch. Gwajima amgomea Makonda

    Acheni kupoteza muda fanyeni kazi nchi hana pesa.
  10. K

    Kama askofu Pengo amewasaliti maaskofu, Lipumba amewasaliti waislamu wote?

    Uchonganishi ni kipaji. Hii hoja yenu haiwezi kuvuruga ukawa ndo kwanza nguvu inaongezeka.
  11. K

    Why UKAWA will loose the 2015 Election

    Bila kumuonea zitto nasema kweli yangu hapa Zitto ni mvurugaji wa upinzani Tanzania. Kwa mantiki hiyo huwezi kukubaliana na hoja za zitto wakati unajua malengo yake ni kupunguza kura za ukawa. Huyu Zitto si mpinzani kama anavyojipambanua kwa umma. Ujanja wake unajulikana wazi, ukiwa...
  12. K

    Kama askofu Pengo amewasaliti maaskofu, Lipumba amewasaliti waislamu wote?

    Madhara yapi? Je mnamchagua kiongozi kwa sababu ni wa upande wa dini yako? Elimu ya prof. Lipumba inaonesha tofauti kubwa na elimu yako. Go to school man!
  13. K

    Kama askofu Pengo amewasaliti maaskofu, Lipumba amewasaliti waislamu wote?

    Acheni upofu na mahaba yenu ya kichama, ngoja nikupeleke mbali zaidi, wakatoliki walipo amua kumzika Marehemu kept.Komba wakati anamke zaidi ya mmoja walitenda kosa, au walitimiza wajibu wao ?
Back
Top Bottom