Jamani hawa ni kiboko lakini tapeli ni tapeli tu duh,,,,,eti mpesa,tigo pesa tangia lini?hata mimi hiyo fomu yao nimeshtuka hiyo ela na jinsi yakulipa mtu ulipe bila hata yakumjua mtu unaempa hiyo pesa nyooooo,,,,,,,hakitoki kitu hapa.yaani nimegoogle hiyo website yao haifunguki haipo kiufupi...