Ushamba Mzigo kwa kweli hapa Tanzania tuna hoteli za Gharama kuliko hata Ritz. HAYT REGENCY WANA VYUMBA VYA VIONGOZI KWA VYA USD 10000. nenda. Singita Grumet USD 1500 chumba cha chini,Nenda Gran Melia Arusha vipo hadi Usd 900.
Nimeona maelezo yako lakini kimantiki ya kisheria wakienda mahamamani hadhi ya ya ubunge inabaki kama ilivyo na wataendelea kutambulika kama wanachama wa chadema mpaka hapo mahakama itakavyoamua vinginevyo maana status quo itakuwa maintained kama ilivyo.
Mzee umeme ukikatika technojia hiyo ya kugundua tatizo lipo wapi sio level za tanesco aisee maana hii inahitaji uwekezaji mkubwa na hapa unazungumzia kilomtres za mfumo wa usambazaji wa umeme sasa kama Dar pekee ina km 36 elfu huo mfumo kwa nchi zima unakuwaje maana hapo ni kwa line za 11kv...
Hahaha sasa unasema haikusanyi mapato vizuri afu unawadai ZANZIBAR,UNAWADAI JWTZ,UNAWADAI HOSPITAL YA TAIFA YA MUHIMBILI NA HOSPITAL ZOTE,UNADAI MAHAKAMA,UNADAI WIZARA ZOTE,UNADAI TAASISI ZOTE ZA MAJI,UNADAI MAGEREZA NA POLISI. sasa unashauri wakakate umeme ili walipwe mapato my dear the moment...
Ongezea kuwa Gharama ya mita kutoka kwa supplier wa TANESCO ni Tshs. 168,000/=, waya mita Moja ni elfu 23 ukipiga kuunganisha umeme kwa mtu asie na nguzo ni Tshs. 290,000/= leo hii unaunganisha umeme kwa Tshs. 27,000/= tena kwa Mtu anayetaka kukaa kwenye Tarrif D1 ili anunue unit Moja kwa...
Hapa TLS wamepuyanga Katiba ipo kimya kuhusu linapotokea janga la kifo Kwa rais aliye madarakani basi makamu akichukua wadhifa wa urais anahitajika kuunda Baraza jipya la mawaziri. Hakuna kifungu chochote cha Katiba kinachozungumzia suala hilo.
Brother nadhani unaongelea kipindi ambacho maadili yetu ya kikabila za kiafrika ambayo mafunzo yake Kwa kiasi kikubwa yanafanana na wanawake wa kipindi hicho ulipaswa kuwa striker kweli kweli sasa hawa wa sasa ni wazungu unatongoza Leo anakuja geto Leo Leo heshima hiyo wataitoa wapi. Siku hizi...
Nashukuru nimeishi Ujerumani, Denmark, USA, UK, BELGIUM, SWEDEN na NORWAY kwa nilipofika mimi basi za BRT zipo kwenye nchi zote hizo brother Labda wewe haujatembelea maeneo hayo.
Hahah kumbe umekariri ile miaka 3 sasa hivi utaratibu wa kupanda daraja unategemea perfomance ndugu sio kila baada ya miaka 3 mwenye perfomance nzuri ndio anapanda...kuna mfumo unaitwa OPRAS...sasa wewe tulia usubiri miaka...ova
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.