Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 6,319
- 3,283
lakini mama yuko smart sana kichwani, haendeshwi na mihemko. haropoki ovyo ovyo na kutoa kauli chafu chafu kama aliyemtangulia wala kukurupuka out of nowhere. naweza sema yuko humble sana and in that caae..... lazma tumzibiti kwa kila namna, upende/ ukatae.kwa kifupi mama inatakiwa apige spana mwanzo mwisho mara 10 zaid ya jiwe.Asiwachekee hovyo.
hongera Mama Samia. sote tuko nyuma yako