Kama mzazi hana cheti utapeleka Affidavit ya huyo mzazi itakayoonesha majina yake kamili,mwaka aliozalliwa,mkoa alipozaliwa, wilaya na kijijj au kata alipozaliwa.Mimi nilifanya hivi na ndio utaratibu niliopewa uhamiaji wakati wa maombi ya passport yangu..
Kuhusu dreadloocks sifahamu.
Habari zenu wakuu.
Ndugu yangu amezuiliwa kufanya oral interview kwa sababu ya utofauti wa majina. Majina kwenye vyeti vya taaluma na Nida yapo sawa. Jina lake katika cheti cha kuzaliwa lipo tofauti kidogo. Kaenda na Affidavit ya kukonfirm kua majina yote hayo ni yake.
Written interview...
Mkuu hapo kipengele cha 6, ikiwa nimesajili biashara miezi 3 illiyopita lakinj bado haijaanza, je hiyo Nil estimatted return mwezi gani? Biashara imesajiliiwa october 2024
Wakuu wazima?
Katika process za kutoa kontena bandarini, naomba mwenye uelewa anifungue macho hapa. Ni kodi zipi na asilimia ngapi hulipwa kwa kontena la 40HQ, mzigo ni machines za kiwandani, rawmaterials na packages.
Itapendeza kama nikipata mchanganuo wa gharama zote.
Natanguliza shukrani..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.